Code 16686636Poa ngoja niingie hapa.
Nilikuwa nataka nikuinvite ila siyo mbaya.Code 16686636
Sio mpenzi wa matokeo ila naomba mkicheza mtupe mrejesho.. maana jamaa kaja kwa mbwembwe sanaNjoo tupashe😭
Kama ana e.g 70 ukimtrain anaweza fika hata 101 au zaidi inategemeana na aina ya mchezaji.Wakuu hii level training iliyopo kwa wachezaji inafanyaje kazi
Unajitahidi mkuu upo vizuriNilikuwa nataka nikuinvite ila siyo mbaya.
Tupashe natuma codeGusa code hiyo
Sawaa shukran sana mkuuKama ana e.g 70 ukimtrain anaweza fika hata 101 au zaidi inategemeana na aina ya mchezaji.
16575691Tupashe natuma code
Nitaweka matokeo hapa mkuu, mechi zilikuwa za ushindani kiasi japo zote umenifunga 😂Unajitahidi mkuu upo vizuri
Upo vizuri mkuu ukipata wachezaji wazuri utakimbiza mpaka division 1.Nitaweka matokeo hapa mkuu, mechi zilikuwa za ushindani kiasi japo zote umenifunga 😂
Costacurta anapanda hadi mbele😀 ni 433 hio😀View attachment 3239167
Hii back 5 plus hizo beki unataka nipite wapi mkuu 😂😂 sijapenda
Nishasema wewe sio mchezaji ni muuaji😂Upo vizuri mkuu ukipata wachezaji wazuri utakimbiza mpaka division 1.
Mimi ninacheza back 5 kuzuia 😀 ila nikiwa nampirai inakua 433 nimemuwekea Costacurta CB attacking instruction anakua midfielder kupata on target inabidi ujipange😀View attachment 3239161