Mkuu kama upo Naomba mechi mojaπya kutoa tathmini ili unipe madini vizuri..Upo vizuri mkuu ukipata wachezaji wazuri utakimbiza mpaka division 1.
Mimi ninacheza back 5 kuzuia π ila nikiwa nampira inakua 433 nimemuwekea Costacurta CB attacking instruction anakua midfielder kupata on target inabidi ujipangeπView attachment 3239161
Nitaweka matokeo hapa mkuu, mechi zilikuwa za ushindani kiasi japo zote umenifunga π
Kisasi which mkuu πhapo hakuna kisasi ni kutafuta draw tu
Ingia tupasheMkuu kama upo Naomba mechi mojaπya kutoa tathmini ili unipe madini vizuri..
Umeshaniadd kama Rafiki nadhan
Razorblade siku nyingine mkuu umenipa experience ya live ππ
Upo vizuri mkuu ukiwapa skills kama one touch pass wachezaji wako wote na through pass umemaliza
Sawaa mkuuIngia tupashe
Nafasi zote ulizopataView attachment 3239189
Nilikuwa nauma meno mkuu unakaba sana π.
Tupashe saa 2 kama utakua freeKisasi which mkuu πhapo hakuna kisasi ni kutafuta draw tu
Shukran mkuu ila goli 1 linauma sana π.Upo vizuri mkuu ukipata wachezaji wazuri utakimbiza mpaka division 1.
Mimi ninacheza back 5 kuzuia π ila nikiwa nampira inakua 433 nimemuwekea Costacurta CB attacking instruction anakua midfielder kupata on target inabidi ujipangeπView attachment 3239161
Sawaa hakuna nenoTupashe saa 2 kama utakua free
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchunguππkuna game umenipiga moja mwanzo limekaa adi mwishoπShukran mkuu ila goli 1 linauma sana π.
Ndiyomaana kuna siku nilisema humu ukicheza hili game malalamiko kwa wachezaji kwenye maisha ya kawaida yanapungua π.Nafasi zote ulizopata
Maana umenipita mara nyingi mno
Poa mkuu.Upo vizuri mkuu ukiwapa skills kama one touch pass wachezaji wako wote na through pass umemaliza
Inabidi niwe makini usije nipiga 5 GπView attachment 3239201
Kuna huyu jamaa alinifunga goli 1 wakati natafuta coins kwenye event nikamtumia friend request kwaajili ya kulipa kisasi na nimelipa ipasavyo π.
ππHumo ndani ni pagumu sanaNdiyomaana kuna siku nilisema humu ukicheza hili game malalamiko kwa wachezaji kwenye maisha ya kawaida yanapungua π.
Nafasi nyingi halafu hakuna goli π.
Moja ya changamoto nayokutana nayo ni simu nayotumia kwenye game, kuna muda nakuwa nacheza huku inagomagoma na wakati mwingine game inakata kabisa inarudi kawaida.Inabidi niwe makini usije nipiga 5 Gπ