Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Razorblade siku nyingine mkuu umenipa experience ya live 😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama upo Naomba mechi moja😃ya kutoa tathmini ili unipe madini vizuri..Upo vizuri mkuu ukipata wachezaji wazuri utakimbiza mpaka division 1.
Mimi ninacheza back 5 kuzuia 😀 ila nikiwa nampira inakua 433 nimemuwekea Costacurta CB attacking instruction anakua midfielder kupata on target inabidi ujipange😀View attachment 3239161
Nitaweka matokeo hapa mkuu, mechi zilikuwa za ushindani kiasi japo zote umenifunga 😂
Kisasi which mkuu 😂hapo hakuna kisasi ni kutafuta draw tu
Ingia tupasheMkuu kama upo Naomba mechi moja😃ya kutoa tathmini ili unipe madini vizuri..
Umeshaniadd kama Rafiki nadhan
Razorblade siku nyingine mkuu umenipa experience ya live 😃😃
Upo vizuri mkuu ukiwapa skills kama one touch pass wachezaji wako wote na through pass umemaliza
Sawaa mkuuIngia tupashe
Nafasi zote ulizopataView attachment 3239189
Nilikuwa nauma meno mkuu unakaba sana 😂.
Tupashe saa 2 kama utakua freeKisasi which mkuu 😂hapo hakuna kisasi ni kutafuta draw tu
Shukran mkuu ila goli 1 linauma sana 😂.Upo vizuri mkuu ukipata wachezaji wazuri utakimbiza mpaka division 1.
Mimi ninacheza back 5 kuzuia 😀 ila nikiwa nampira inakua 433 nimemuwekea Costacurta CB attacking instruction anakua midfielder kupata on target inabidi ujipange😀View attachment 3239161
Sawaa hakuna nenoTupashe saa 2 kama utakua free
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu😂😂kuna game umenipiga moja mwanzo limekaa adi mwisho😃Shukran mkuu ila goli 1 linauma sana 😂.
Ndiyomaana kuna siku nilisema humu ukicheza hili game malalamiko kwa wachezaji kwenye maisha ya kawaida yanapungua 😂.Nafasi zote ulizopata
Maana umenipita mara nyingi mno
Poa mkuu.Upo vizuri mkuu ukiwapa skills kama one touch pass wachezaji wako wote na through pass umemaliza
Inabidi niwe makini usije nipiga 5 G😀View attachment 3239201
Kuna huyu jamaa alinifunga goli 1 wakati natafuta coins kwenye event nikamtumia friend request kwaajili ya kulipa kisasi na nimelipa ipasavyo 😂.
😃😃Humo ndani ni pagumu sanaNdiyomaana kuna siku nilisema humu ukicheza hili game malalamiko kwa wachezaji kwenye maisha ya kawaida yanapungua 😂.
Nafasi nyingi halafu hakuna goli 😂.
Moja ya changamoto nayokutana nayo ni simu nayotumia kwenye game, kuna muda nakuwa nacheza huku inagomagoma na wakati mwingine game inakata kabisa inarudi kawaida.Inabidi niwe makini usije nipiga 5 G😀