Tigo nao wamechangia mimi kupoteza mechi nyingi online sababu hapa nilipo mtandao mzito hivyo wachezaji nao wanakuwa wazito kurespond[emoji23][emoji23][emoji23] ujapigwaa nyingi wee uko unataka kukimbia
Nimejaribu mara kadhaa dls limenishinda, hmna game humoHawa itakuwa fifa na pes wanpata ugumu kucheza ndomana wanakwambia habari ya dls
DLS hata lingekua na GB 3 na ku-update kila mwezi bado watu hawataliacha u know y? Ndio game Bora zaidi kwenye upande wa simu....Tatiz9 e football wengi wanaogoapa ku update GB 2 kila mwezi noma bora wacheze DLS tu.
Nimecheza DLS, PES (Efootball) na FIFA kwenye simu nilichoona:DLS hata lingekua na GB 3 na ku-update kila mwezi bado watu hawataliacha u know y? Ndio game Bora zaidi kwenye upande wa simu....
"Kizuri ni kizuri lakini chenye ubora ni Bora...." Fid Q
Umri pendwa kabisaExactly 💯 🤣
Hii ndo point🤣. Ila watu wa DLS ni wabishii🤣🤣Nimecheza DLS, PES (Efootball) na FIFA kwenye simu nilichoona:
Gameplay- Efootball hana mpinzani
Graphics- FIFA anamzifi e football
DLS- Affordable watu wengi wanalimudu halina gharama
Kiasi fulani sio sana😂😂😂unaruhusuu.
Msaada kuset obb na data za game la fts 24 maana kwa simu yangu nimejaribu nafeli inaandika hivyoView attachment 2828438View attachment 2828440View attachment 2828442
Thanks mkuu ,,but nikifika stage ya 12 inaandika for privacy nichague another folderView attachment 2828544
Angalia hapa mkuu. Kama vipi nenda utube utaelewa tu.