Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
DLS ukifika tier gani? Tuanzie hapo!E football sio la kila mtu mkuuu..kufikia apo tu jibu liko wazi .ukicheza e football huta wahi rudia kucheza dsl tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DLS ukifika tier gani? Tuanzie hapo!E football sio la kila mtu mkuuu..kufikia apo tu jibu liko wazi .ukicheza e football huta wahi rudia kucheza dsl tena
Naona una beki kisiki NestaE football sio la kila mtu mkuuu..kufikia apo tu jibu liko wazi .ukicheza e football huta wahi rudia kucheza dsl tena
hapana kikosi kime kamilika tayari bado kumpata Ronaldinho kwenye legend nikamilike.Naona una beki kisiki Nesta
Hahahq
Alf unatunz coin za Messi 103 nini?
Nkbl mzeehapana kikosi kime kamilika tayari bado kumpata Ronaldinho kwenye legend nikamilike.
Mkuu karibu DLS nikufundishe ujuziKaribu Sana ukutane na MTO MARA FC [emoji91]
Njoo mkuu tuoneshane umwamba.... Kama upo tayri niquoteNani yupo online tucheze dls mda huu
Fifa mobile me ndo nalipenda ila watu awalitaki kwasababu ni online tuu pekee, ila ni kali updates za kutosha graphics za juu na mode of play kalii, DLS nafutaga tu ata kulicheza naonaga alinifurahishiKwa mimi nimecheza game zote ila eFootball ni moja ya game bora sana ikifuatiwa na Fifa mobile hii ni Kwa sababu ya kiwango cha juu cha gameplay realistic , graphic , pia inakupa challenge ya kutosha kuliko DLS.
Kwa sasa wameita eFootball Kwa maana ya electronic football kuwezesha Michezo ya eSport ambayo wachezaji watashindana online Kwa maeneo tofauti duniani. Aisee efootball ipewe maua yake
Hala DLS ni online Tu sikuhiziFifa mobile me ndo nalipenda ila watu awalitaki kwasababu ni online tuu pekee, ila ni kali updates za kutosha graphics za juu na mode of play kalii, DLS nafutaga tu ata kulicheza naonaga alinifurahishi
Kumbe Sjuiii maana situmiagii nafutaga kwakweli, fifa kuna migoli unafunga unajiona kama uko benabeu au OTHala DLS ni online Tu sikuhizi
DLS bado Litabaki kua game pendwa Kwa upande wa simu..Kumbe Sjuiii maana situmiagii nafutaga kwakweli, fifa kuna migoli unafunga unajiona kama uko benabeu au OT
Sijakataa ila ukizungumza uzuri wa game si game zuri compared to Fifa na pes sijawahi cheza , fifa haaland ni haaland jude ni jude kuanzia anavyo cheza skills mpaka styles za mtindo wa maisha, DLS realistic ipo nyuma ni mtizamo wangu tuDLS bado Litabaki kua game pendwa Kwa upande wa simu..
Hahaha .sio poa aisee ..now Wana version ya edit in game ni balaaa...Football Manager ni madawa ya kulevya. Hatari kwa afya yako,,,[emoji855][emoji855][emoji855][emoji23][emoji23]
Aisee..ni full version Mzee baba...nikucheki aje nipate setup yake!?
Hii inakuwaj maana mimi waga nachezaHahaha .sio poa aisee ..now Wana version ya edit in game ni balaaa...
Lbd nikupe download link ni gb 2Aisee..ni full version Mzee baba...nikucheki aje nipate setup yake!?
Hii unaweza edit club, mchezaji na Kila kitu kilichopo kwenye game...Hii inakuwaj maana mimi waga nacheza
Career tu
Nipe link aisee...nimehangaika sana kulipata hilo game..now Niko na la 21 nimeshindwa kulipata la 22 au 23Lbd nikupe download link ni gb 2