Egypt: Hii siyo sawa kuwafanyia ndugu zenu. Kuna nini Kinaendelea hapa?

Egypt: Hii siyo sawa kuwafanyia ndugu zenu. Kuna nini Kinaendelea hapa?

Mipaka ya middle east inahakikisha vita ya milele.

Hao Watu wa Gaza wapelekwe Sinai au Negev.
 
Ukiwakaribisha Kobazi leo, kesho watataka ufuate masharti yao
Syria Assad na Hezbollah waliua sana Wapalestina ila FaizaFoxy hazungumzii kabisa hili.

Demographic ya middle east ni complex sana na Washikuru uwepo wa Israel na USA.

Nyuma ya Pazia Mossad inawauzia Technology na kuwasaidia baadhi ya Waarabu kwenye mission complex
 
Hao jamaa wanadinyana hadi kwenye vita... wana balaa ya uzazi hao Last time i checked walitakiwa kuhamishiwa Sinai Egypt akastuka akawakataa akapewa na Gaza aisimamie nao Egypt akakataa now wapo kama kuku wa Kizungu 2.3m Wamejaza eneo na wakiachwa ndani ya miaka 5 watakuwa twice na ndio watasumbua zaidi. kuna ulazima Israel awasukumize kilazima Sinai wakakutane na ndugu zao wa asili..

Hiyo jamii ya kiarabu haina adabu na hawapendi kazi so watu wa namna hiyo ukiishi nao watakuibia tu.. Yaani wakisikia jengo limeanguka wao ni kuwahi mali tu, walipoivamia Israel ilicheka sana waliiba baiskeli hadi za watoto mwingine akaiba Trekta la kilimo la kuvunia yaani hamna akili kabisa and walikuja kuvamia pamoja na raia wizi mbaya sana
 
Kinachohofiwa ni kuwa wapalestina wakitoka kwa wingi Gaza, Israel haita war uhuru kurudi na hivyo kuua ndoto yao ya kuwa na taifa la kipalestina.

Amandla...
 
msianze kusema pray for Gaza , walikuwa wanaish kwa aman kbs ila wakachagua vita
Makundi yote ya kigaidi ya Iran, yanachukiwa na nchi zote za kiarabu.

Ukiwakaribisha Hamas, Hezbollah au Houthis, ujue umeingiza ushetani nchini mwao. Wale biashara yao kuu ni ugaidi. Hawawezi kupata pesa ya Iran mpaka wathibitishe wapo kwenye mapigano.
 
Siasa zimeingia kati .. Muslim Brotherhood ni chama pinzani ambapo serikali ya Egypt inakichukulia kama chama cha kigaidi .. Muslims brotherhood Wana uhusiano wa karibu mno na Hamas ..hadi Idiology .. watu wa Ghaza walichagua hamas kwa kura nyingi mno kutawala Ghaza .. Huo ukuta ni product za Siasa za Kidunia na wamesahau Dini .. kwani mbele ya Allah hautaulizwa chama chako cha kisiasa bali dini yako ..
Muslim brotherhood utawaonea tu; wameanza juzi tu hao. Israel na Palestina hawajaanza leo kugombana. Waislamu hawanaga UPENDO kama Wakristo. Tizama, mashariki ya kati yote ile, mahali walipowahi kupokelewa ni Lebanon kwenye Wakristo wengi, sio Iraq ya Waislam, Syria, Iran wala wapi. Wakifanikiwa, watakwenda nchi za makafiri. Neno samahani na upendo kwa Waislamu hakuna.
 
Muslim brotherhood utawaonea tu; wameanza juzi tu hao. Israel na Palestina hawajaanza leo kugombana. Waislamu hawanaga UPENDO kama Wakristo. Tizama, mashariki ya kati yote ile, mahali walipowahi kupokelewa ni Lebanon kwenye Wakristo wengi, sio Iraq ya Waislam, Syria, Iran wala wapi. Wakifanikiwa, watakwenda nchi za makafiri. Neno samahani na upendo kwa Waislamu hakuna.

Soma historia ya hamas na muslim brotherhood .. siasa ndio zimeharibu .. hakuna watu wanaopendana kama waislam kwani tungaunishwa na Qalima
Screenshot_20241030-074219_Chrome.jpg
 
Siasa zimeingia kati .. Muslim Brotherhood ni chama pinzani ambapo serikali ya Egypt inakichukulia kama chama cha kigaidi .. Muslims brotherhood Wana uhusiano wa karibu mno na Hamas ..hadi Idiology .. watu wa Ghaza walichagua hamas kwa kura nyingi mno kutawala Ghaza .. Huo ukuta ni product za Siasa za Kidunia na wamesahau Dini .. kwani mbele ya Allah hautaulizwa chama chako cha kisiasa bali dini yako ..
Sio wanachukuliwa ni magaidi bali ukweli ndio huo, Muslim brotherhood ni magaidi na wamechangia uharibifu mkubwa sana katika jamii za waislamu duniani kote kiasi ambacho Uislam ukaonekana ni dini ya vurugu,machafuko,mapinduzi, mauaji na mengineyo mfanowe.
 
Wote wanashea Allah mmoja.
Kama sio unafiq ni nini? Bas awajaalie qauli thabeet
Allah mwenyew hataki kuwasikia wala kuwaona Hamas sembuse Egypt. Wale Hamas walipokuwa wanabaka kule Israel teh 7/10 walikuwa wakifikia kishindo( kukojoa) wanamtaja yeye "Allahu akbar" yaani kifupi Allah kavurugwa na hamas
 
Sio wanachukuliwa ni magaidi bali ukweli ndio huo, Muslim brotherhood ni magaidi na wamechangia uharibifu mkubwa sana katika jamii za waislamu duniani kote kiasi ambacho Uislam ukaonekana ni dini ya vurugu,machafuko,mapinduzi, mauaji na mengineyo mfanowe.

Kweli kabisa ndio maana katika Salafi tunaitakidi kwamba alqaida, ISS bokoharam, alshabab , hao ikhwaan muslimeen ni katika wapotofu kwani hawafuati mafundisho ya Mtume Mohamad S.A.W na wema waliotangulia katika karne tatu bora .. lakini ukiongea haya maneno wasiojua dini yao na kufuata mihemko watakusema na kutukana mpaka basi
 
Back
Top Bottom