Egypt: Hii siyo sawa kuwafanyia ndugu zenu. Kuna nini Kinaendelea hapa?

Hongera mhitimu wa Sunday school
 
Salaf?ndo wale mapro wa Saudia au????
 
Inachokifanya Egypt ni tahadhari ya athari mbaya zinazoweza kutokea kwa kuchukua watu wengi waliotoka kwenye machafuko ya kivita.
Kumbuka yaliyotokea Lebanon na madhara yake hadi sasa, yaliyotokea Jordan na mataifa mengine mengi ulaya
Kuchukua wakimbizi wengi nchini kwako ni sawa na kuanzisha taifa jingine nchini kwako, na mbaya zaidi wanajihisi ni kwao na wanaurahisi wa kuanzisha vikundi vyao vya kijeshi vinavyoweza kutumiwa na watu wenye nia ovu na nchi yako. Kumbuka tena ya Lebanon utawaelewa wa Misri. Saudia yenyewe ndo haiwataki kabisa maana wanajua utakuwa mlango wa kuingiza machafuko kupitia washirika wa iran haswa Hezbollah na waHouthi wa Yemen.
Geopolitics ni zaidi ya dini hapo Mashariki ya kati.
Hapa Tanzania tunajua jinsi mapori ya Tabora na Kigoma yalivyokuwa hatari, uhalifu wa kutumia silaha ulishamiri sana maeneo hayo iliwemo utekaji wa magari. Mengi yalihusianishwa na wakimbizi wa Kongo na Burundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…