secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Nchi ya kisen....g....tumezungukwa na Mito Maziwa Bahari,hapo Dar Mbezi ya Kimara watu hawana maji....Maji sisi tunayo tele ila hatujui matumizi yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ya kisen....g....tumezungukwa na Mito Maziwa Bahari,hapo Dar Mbezi ya Kimara watu hawana maji....Maji sisi tunayo tele ila hatujui matumizi yake
Sijui jogorafia ungenijibu sio kuniuliza swali mkuu😂😂Kwani Ziwa Victoria linategemea maji ya mto Congo?
Watakuwa wamechelewa sana!Wa egypt wakikosa kabisa maji ya mto Nile, au yakipungua kiasi cha kuhatarisha maisha yao, wataishambulia Ethiopia.
Sheria za kikoloni zinawapa haki zaid Misri na Sudan juu ya maji ya Mto Nile. Hata mradi wetu wa maji ya ziwa Victoria ilibid Misri waridhie, Rejea ziara za waziri wa Maji wa utawala wa Mkapa, Edward Lowassa nchini Misri.Hawawezi kuwawekea masharti Ethiopia kuhusu matumizi ya maji hayo. Ethiopia wana haki zote za kutumia maji hayo kwa maendeleo ya nchi yao.
Sio hawatupendi, mto Nile ni uhai wa Egypt.... ukigusa huo mto unaathiri kwa kiasi kikubwa uchumi wa Egypt
Sasa wataishia kushikilia mambo ya kikoloni sisi tunasonga mbeleSheria za kikoloni zinawapa haki zaid Misri na Sudan juu ya maji ya Mto Nile. Hata mradi wetu wa maji ya ziwa Victoria ilibid Misri waridhie, Rejea ziara za waziri wa Maji wa utawala wa Mkapa, Edward Lowassa nchini Misri.
Wewe unakwama wapi kusogeza maji hapo Kimara Ili usiwe sehemu ya wasenge?Nchi ya kisen....g....tumezungukwa na Mito Maziwa Bahari,hapo Dar Mbezi ya Kimara watu hawana maji....
Kwangu nina kisima kwa hiyo mm sio mseingWewe unakwama wapi kusogeza maji hapo Kimara Ili usiwe sehemu ya wasenge?
Sio kwako wewe hapo umefanya nini cha maana kwenye jamii,Kwangu nina kisima kwa hiyo mm sio mseing
Hata zingekuwa 10,000. Aliye serious akidhamiria hashindwi kitu.Kilomita ngapi kutoka mto Congo hadi kuifikia Nile?
Egypt hapendi weusi
Habari zenu.
Baada ya mwanaume Ethiopia kupuuza vitisho na mikwara ya mbu nje ya net iliyokuwa ikitolewa na Egypt kwa Ethiopia Kuhusu kujaza maji kwenye Bwawa la Umeme,jamaa sasa wameamua kuiangukia Congo DRC.
Egypt sasa inapanga kutumia mabilioni ya dola kuwalipa wakongo Ili ijenge channel ya kuchepusha maji kutoka mto Congo na kuunga na Nile Ili waendelee kupata maji ya uhakika.
Hongera Sana Ethiopia kwa kuwa na msimamo wa kiume.Sasa Egypt wako bise na Bwawa la Umeme la stiglaz kama bribe ya kuihonga Tzn Ili eti tusitumie miradi mikubwa ya kuchota maji Ziwa Victoria.Kwa taarifa yao wanajisumbua.
Hiki hapa walichoamua Mafarao 👇👇
View attachment 1914421
Acha waarabu waingie tu gharama, walipeleka waafrika utumwani na kuwahasi wanaume wote kisa eti kusije kuwa na mtu mweusi kwenye ardhi zao baadaye. Bure kabisa.
Hueleweki mkuuSo umefuraahi Ethiopia kwa kuwa na msimamo wakiume ee 😁😁 Angefanyiwa moja kati ya nchi ya weusi usingeshabikia wala kuanzisha uzi.
Kama kodi tu, wanakusanya ndio ila matumiz ndo ishuMaji sisi tunayo tele ila hatujui matumizi yake