Egypt imeigeukia kubembeleza Congo DRC Baada ya Ethiopia Kudinda kuhusu Bwawa la Umeme

Egypt imeigeukia kubembeleza Congo DRC Baada ya Ethiopia Kudinda kuhusu Bwawa la Umeme

Je, una ushahidi wa hilo mzee?

Mti wenye matunda cku zote hupigwa mawe,, hivi kuna jamii yenye watu wenye roho nzuri, wastaarabu, wakarimu na wenye imaan kama waarabu!!! Siwatetei lakini ukweli ndiyo huo, wewe mwenyewe walijua hilo bac chuki tu zimekuandama na kuongea ucyoyajua mzee.
Ni sawa tu kwamba waliwaletea dini lakini historia ya uovu waliowafanyia mababu zetu kamwe haitasahaulika katu. Ni moja ya jamii ya watu wakatili sana, angalia hata tawala zao zilivyo.
 
Unachoshangaa nini haswaa mkuu,, unataka kila mtu awe upande wa ethiopia!!! unadhani wakifungiwa hayo maji wataishije! Mungu awasaidie egypt.
 
Ni sawa tu kwamba waliwaletea dini lakini historia ya uovu waliowafanyia mababu zetu kamwe haitasahaulika katu. Ni moja ya jamii ya watu wakatili sana, angalia hata tawala zao zilivyo.

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ

(2:120) And never will the Jews or the Christians approve of you until you follow their religion. Say, “Indeed, the guidance of Allah is the [only] guidance.” If you were to follow their desires after what has come to you of knowledge, you would have against Allah no protector or helper.

Wakati wanawafanyiwa uovu babu zako ulikuwepo?
 
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ

(2:120) And never will the Jews or the Christians approve of you until you follow their religion. Say, “Indeed, the guidance of Allah is the [only] guidance.” If you were to follow their desires after what has come to you of knowledge, you would have against Allah no protector or helper.

Wakati wanawafanyiwa uovu babu zako ulikuwepo?
Sikuwepo. So what....!!
 
..Egypt ana bwawa la umeme ktk mto Nile lakini hawataki Ethiopia au nchi nyingine ktk bonde la mto huo kuwa na bwawa la kufua umeme.

..Ethiopia iliwahi kuwa na janga kubwa la njaa miaka ya 1980, na mara kwa mara wananchi wananchi wake wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la uzalishaji chakula. wakati huohuo hatujawahi kusikia Egypt wamekumbwa na balaa la njaa kwasababu wanatumia maji ya mto Nile bila kuzuiwa na nchi yoyote.

..Hali haiwezi kuendelea kama ilivyo sasa hivi ambapo Egypt wanafaidika na mto Nile, wakati Ethiopia wanawekewa vikwazo ktk matumizi ya mto unaoanzia nchini kwao. Suluhisho sio nchi moja ipate, na nyingine ikose, bali ni nchi zote zifaidike na matumizi ya maji ya mto Nile.
Egypt upande wa pili wana roho mbaya wajuvi maneno mengii na choyo kwa wengine....
Waziri mkuu wa Ethiopia kapita nchi moja baada ya nyengine kuwa kumbusha lile balaa la njaa lililo wakumba kiasi mapaka Michael Jackson akaimba juu lile balaa ni hatari...
 
Hii ndio lugha inayotamba kote duniani, kutoifahamu kwako wewe haituhusu wengine.

Wewe na nani haiwahusu 🤣 halafu Imekusaidia nini hiyo lugha, c ni lugha tu kama zingine!!!! Munajifanya mmeenda shule mnaangukia kuajiriwa kwa wasioenda shule na wengine hutegemea wazazi wawahudumie🤣🤣
Mbona wapo na tunawaona sasa waliopelekwa Asia na hao waarabu wenyewe wako wapi? Ndicho ninachouliza.

Hujui unachokiongea,, ninyi ndiyo bendera fuata upepo au wafuata mkumbo 😁😁😁 halafu kijana acha chuki kwa waarabu. Hao ndiyo wamekuletea ustaarabu kijana.
 
Wewe na nani haiwahusu 🤣 halafu Imekusaidia nini hiyo lugha, c ni lugha tu kama zingine!!!! Munajifanya mmeenda shule mnaangukia kuajiriwa kwa wasioenda shule na wengine hutegemea wazazi wawahudumie🤣🤣


Hujui unachokiongea,, ninyi ndiyo bendera fuata upepo au wafuata mkumbo 😁😁😁 halafu kijana acha chuki kwa waarabu. Hao ndiyo wamekuletea ustaarabu kijana.
Sasa kukata watu vichwa ndio ustaarabu.
 
Hili swala la maji ya mto Nile naona litawasumbua sana waarabu, wao watafute tu namna nyingine kwani waethiopia wana haki kabisa ya kutumia maji yaliyomo ndani ya nchi yao.
Sure mkuu, huwezi kufa na njaa mvua haijashuka ipasavyo wakati maji unayaona yanapita upenuni kwako ambayo unaweza kufanya kilimo cha umwagiliaji. Kama mvua itanyesha ipasavyo hakuna shida tutayaacha yaende. Egypt hawatakiwi kutumia ubabe . washirikiane na nchi ambapo mto unatokea na kupita kupeana mbadala wakutoathiri maji ya mto nile
 
Back
Top Bottom