Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Mungu awasimamie egypt
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa tu kwamba waliwaletea dini lakini historia ya uovu waliowafanyia mababu zetu kamwe haitasahaulika katu. Ni moja ya jamii ya watu wakatili sana, angalia hata tawala zao zilivyo.Je, una ushahidi wa hilo mzee?
Mti wenye matunda cku zote hupigwa mawe,, hivi kuna jamii yenye watu wenye roho nzuri, wastaarabu, wakarimu na wenye imaan kama waarabu!!! Siwatetei lakini ukweli ndiyo huo, wewe mwenyewe walijua hilo bac chuki tu zimekuandama na kuongea ucyoyajua mzee.
Maji sisi tunayo tele ila hatujui matumizi yake
Ni sawa tu kwamba waliwaletea dini lakini historia ya uovu waliowafanyia mababu zetu kamwe haitasahaulika katu. Ni moja ya jamii ya watu wakatili sana, angalia hata tawala zao zilivyo.
😂😂😂😂Kwangu nina kisima kwa hiyo mm sio mseing
Sikuwepo. So what....!!وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
(2:120) And never will the Jews or the Christians approve of you until you follow their religion. Say, “Indeed, the guidance of Allah is the [only] guidance.” If you were to follow their desires after what has come to you of knowledge, you would have against Allah no protector or helper.
Wakati wanawafanyiwa uovu babu zako ulikuwepo?
Unachokisema si sahihi. Vipi wale Weusi waliopelekwa Marekani na Karibea nao walipelekwa na Mwarabu?Acha waarabu waingie tu gharama, walipeleka waafrika utumwani na kuwahasi wanaume wote kisa eti kusije kuwa na mtu mweusi kwenye ardhi zao baadaye. Bure kabisa.
Sikuwepo. So what....!!
Safi sana mkuu. Waafrika tunaplay victim sana. Yani ili muafrika ajione ameishi anataka apewe attention ya kupendwa.Wawapende ili iweje?Kwanini na nyie msiwachukie?
Egypt upande wa pili wana roho mbaya wajuvi maneno mengii na choyo kwa wengine......Egypt ana bwawa la umeme ktk mto Nile lakini hawataki Ethiopia au nchi nyingine ktk bonde la mto huo kuwa na bwawa la kufua umeme.
..Ethiopia iliwahi kuwa na janga kubwa la njaa miaka ya 1980, na mara kwa mara wananchi wananchi wake wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la uzalishaji chakula. wakati huohuo hatujawahi kusikia Egypt wamekumbwa na balaa la njaa kwasababu wanatumia maji ya mto Nile bila kuzuiwa na nchi yoyote.
..Hali haiwezi kuendelea kama ilivyo sasa hivi ambapo Egypt wanafaidika na mto Nile, wakati Ethiopia wanawekewa vikwazo ktk matumizi ya mto unaoanzia nchini kwao. Suluhisho sio nchi moja ipate, na nyingine ikose, bali ni nchi zote zifaidike na matumizi ya maji ya mto Nile.
Hii ndio lugha inayotamba kote duniani, kutoifahamu kwako wewe haituhusu wengine.So what so what so what waachie wazungu hii lugha.
Mbona wapo na tunawaona sasa waliopelekwa Asia na hao waarabu wenyewe wako wapi? Ndicho ninachouliza.Unachokisema si sahihi. Vipi wale Weusi waliopelekwa Marekani na Karibea nao walipelekwa na Mwarabu?
Maji mengi ya Nile yanaishia baharini,pia wao Wana Aswan Dam. Ni swala la Egypt kuhofia Ethiopia itakuja ipita Egypt kimaendeleo na kitechnologia,mengine ni visingizio tuuSio hawatupendi, mto Nile ni uhai wa Egypt.... ukigusa huo mto unaathiri kwa kiasi kikubwa uchumi wa Egypt
Mbona wao hawagawi mafuta petroli yao,waturuhusu tuchimbe mfereji tutumie petroli yao bila malipoKwanza maji ya River Congo, Siyo ya Congo kugawa.
Hii ndio lugha inayotamba kote duniani, kutoifahamu kwako wewe haituhusu wengine.
Mbona wapo na tunawaona sasa waliopelekwa Asia na hao waarabu wenyewe wako wapi? Ndicho ninachouliza.
Sasa kukata watu vichwa ndio ustaarabu.Wewe na nani haiwahusu 🤣 halafu Imekusaidia nini hiyo lugha, c ni lugha tu kama zingine!!!! Munajifanya mmeenda shule mnaangukia kuajiriwa kwa wasioenda shule na wengine hutegemea wazazi wawahudumie🤣🤣
Hujui unachokiongea,, ninyi ndiyo bendera fuata upepo au wafuata mkumbo 😁😁😁 halafu kijana acha chuki kwa waarabu. Hao ndiyo wamekuletea ustaarabu kijana.
Sure mkuu, huwezi kufa na njaa mvua haijashuka ipasavyo wakati maji unayaona yanapita upenuni kwako ambayo unaweza kufanya kilimo cha umwagiliaji. Kama mvua itanyesha ipasavyo hakuna shida tutayaacha yaende. Egypt hawatakiwi kutumia ubabe . washirikiane na nchi ambapo mto unatokea na kupita kupeana mbadala wakutoathiri maji ya mto nileHili swala la maji ya mto Nile naona litawasumbua sana waarabu, wao watafute tu namna nyingine kwani waethiopia wana haki kabisa ya kutumia maji yaliyomo ndani ya nchi yao.