Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Wachimbe chini ya Jangwa la Sahahara kama alivyofanya Ghadafi huenda kuna maji kule
Lakini pia wana bahari ya mediterannian, wafanye desalination
Wakongo wakiuza maji itakuwa jambo la ajabu sana maana huo mkataba utadumu miaka mingi sana na itakuwa vigumu kuusitisha
Lakini pia wana bahari ya mediterannian, wafanye desalination
Wakongo wakiuza maji itakuwa jambo la ajabu sana maana huo mkataba utadumu miaka mingi sana na itakuwa vigumu kuusitisha