Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Sasa kukata watu vichwa ndio ustaarabu.
Unafahamu ni watu wangapi wanaokatwa vichwa kila mwaka Saudi Arabia.!Wakina nani hao wanakata wa2 vichwa bila sababu? Ebu weka ushahidi hapa tuone unachokisema!!!!
Egypt hapendi weusi
Duuuuh😳Je, una ushahidi wa hilo mzee?
Mti wenye matunda cku zote hupigwa mawe,, hivi kuna jamii yenye watu wenye roho nzuri, wastaarabu, wakarimu na wenye imaan kama waarabu!!! Siwatetei lakini ukweli ndiyo huo, wewe mwenyewe walijua hilo bac chuki tu zimekuandama na kuongea ucyoyajua mzee.
Eti anamaanisha, kwakuwa babu zako hawakuwa na dini hizo, walistahili kuwa watumwa na mateka wa waarabu, ndo swali la wewe ulikuwepo linapoanzia! Nadhani anamaanisha kuwa wazee walikuwa makafir.Sikuwepo. So what....!!
Tunajua Sana shida ni uthubutu,keknolojia na vipaombele vya serikali ndio tatizo kuu
Kwani imesemwa wapi kwamba dini lazima ziwe ni hizo tu zilizoletwa.Eti anamaanisha, kwakuwa babu zako hawakuwa na dini hizo, walistahili kuwa watumwa na mateka wa waarabu, ndo swali la wewe ulikuwepo linapoanzia! Nadhani anamaanisha kuwa wazee walikuwa makafir.
Nimekusaidia tu, simo!
Kwani imesemwa wapi kwamba dini lazima ziwe ni hizo tu zilizoletwa.
(2:120) And never will the Jews or the Christians approve of you until you follow their religion
Tatizo hao waarabu wamekaa nchi ambayo sio yao. Ulisoma history ya kush na kemet miaka hiyo walikuwa kama ndugu. They shared everything na hata vita walisaidiana. But since Kemet ilipoanguka kwa kuvamiwa na Romans na Greece then wakaja hao Arabs basi wamejikuta wa naishi na Blacks ilihali hawana love kwa watu weusi. That's why shida unayoiona now. Hiyo ishu yao ya kuchepusha kutoka mto kongo ndo wataharibu kabisa hao wahuni. Watulie tu wabadli maji ya bahari wanywe.Egypt hapendi weusi
Si watapata pesa shida iko wapi? Kuna Eswatini na Msumbiji kama sikosei wanauza maji South AfricaWachimbe chini ya Jangwa la Sahahara kama alivyofanya Ghadafi huenda kuna maji kule
Lakini pia wana bahari ya mediterannian, wafanye desalination
Wakongo wakiuza maji itakuwa jambo la ajabu sana maana huo mkataba utadumu miaka mingi sana na itakuwa vigumu kuusitisha
Ila tunalazimisha.halafu wenyewe kwa wenyewe hatupendani pia tunathamini Sana wasio wetu.Je yaweza kuwa Mila zetu mgeni kumpa kitanda Cha watoto,watoto walale chini.Wenzetu hawana hiyo,mgeni utalala chini na Chakula utachangiahata dunia haiwapendi
Wakichepusha maji ya mto Kongo , watashangaa maji ya mto Nile yatakapomiminika kuelekea Bahari ya Atlantic.Tatizo hao waarabu wamekaa nchi ambayo sio yao. Ulisoma history ya kush na kemet miaka hiyo walikuwa kama ndugu. They shared everything na hata vita walisaidiana. But since Kemet ilipoanguka kwa kuvamiwa na Romans na Greece then wakaja hao Arabs basi wamejikuta wa naishi na Blacks ilihali hawana love kwa watu weusi. That's why shida unayoiona now. Hiyo ishu yao ya kuchepusha kutoka mto kongo ndo wataharibu kabisa hao wahuni. Watulie tu wabadli maji ya bahari wanywe.
Waarabu sio ndugu zako babu, soma dini ukiwa umefungua ubongo kujua yanayoendelea duniani.Wacongo wenyewe ni zaidi ya magaidi. Yanauwana yenyewe kwa yenyewe vita haimaliziki. Nyambafu kabisa
God bless Egyptians
Waarabu sio ndugu zako babu, soma dini ukiwa umefungua ubongo kujua yanayoendelea duniani.