Wakaribishe wote mahondaw Wangu...
Eid Mubarak...
Depal Mjep yna2 karibuni...
View attachment 1458113
Watakua kua my private nurse tena... daah nisije nikangolewa visigino...
Mwenyewe mkali sana...
Cc: mahondaw
Amka, kumekuchaJudge nime🛌
Mkishayaandaa matumizi, tag location
Ndiyo naamka now..Amka, kumekucha
Amka kabisa utoke nje uangalie kama mawingu yapoNdiyo naamka now..
Depal 😂😂
Nyama ya ulimi laini sana Smart911 atawezana nayo kweli?Hapana. .huwezi mruhusu mgonjwa kama hajapata nafuu aseeee!
Yeah mtendee mazuri yote yote mfalme wangu . Pia umpe atachotaka bila kusahau nyama ya ulimi pullliiiiizzzzzzzz! . ... anything for him! Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Amka kabisa utoke nje uangalie kama mawingu yapo
Nimeshaamka babe..nakagua tu text za mialiko..najiuliza hapa nianze na ipi..maana watu wote maalum kwanguAmka kabisa utoke nje uangalie kama mawingu yapo
Ukishalielewa naomba nifundishe tafadhali.Ilo somo ni gumu kiasi, me mwenyewe kuna vitu vimenipita hapa hapa bila kuelewa 😂
Wapange kwa grade, wakikuzidi nipunguzie maana me bado inasoma 0-0 . mualiko wa Smart911 nitashindwa maana niko huku Chanika mpaka nije kufika Town pilau ishakuwa kiporoNimeshaachana babe..nakagua tu text za mialiko..najiuliza hapa nianze na ipi..maana watu wote maalum kwangu
Tunaanzia kwakoSalam za Eid Mubarak tumezipokea ,sasa tupeane ratiba wapi pakuanzia
Ahsante kwa ushauri..Ngoja nianze na Yule yuleeee..alafu wengine watafuata.Wapange kwa grade, wakikuzidi nipunguzie maana me bado inasoma 0-0 . mualiko wa Smart911 nitashindwa maana niko huku Chanika mpaka nije kufika Town pilau ishakuwa kiporo