Eid Mubarrak to all members of JamiiForums

Eid Mubarrak to all members of JamiiForums

Mimi najitetea mapemaaaaa !nimemshauri Mjep ajikaze kiume na asilalamike lalamike hovyo kwani yeye ni mwanaume.
Nikasema sipendi kumwona anakosa furaha as mwanaume kukomlain mbele ya wanawake haipendezi

Ni hayo tu mfalme wangu!
[emoji16][emoji16][emoji848]

Depal ... mahondaw .... Mjep ... we neee to have a serious talk... kikap cha amani...

Judge yna2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwahahahahaha Ajiandaa kuelekea masjid eti ila nimemjuza kasema atapitia hapa!
Ukae nae umchue vizuri kwa utamu na rrraha na si maumivu asee Umtibu mpaka apone kabisa utakaporidhia kumuachia sawa ukiona ahamie uko pia sawa!
Smart911 bebe siunajua nishakuruhusugi kitambo so usiniangushe!


Sent using Jamii Forums mobile app

🤣🤣🤣😁😷
Acha dhambi mahondaw Punguza ukorofi... nifanyiwe hayo yote kwani mimi mgonjwa... hahahaha.... kaone kwanza kalivyo katamu...
 
Ukijikwaa ukaumia mfalme wangu!
Anything for you You know! Napenda upate rrrraha uwe nafuraha always! [emoji12]
Nami Ngoja nimalizie kukorofisha jikoni hapa. .. See you soon!! [emoji113]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji40]
Acha dhambi mahondaw Punguza ukorofi... nifanyiwe hayo yote kwani mimi mgonjwa... hahahaha.... kaone kwanza kalivyo katamu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwahahahahaha Ajiandaa kuelekea masjid eti ila nimemjuza kasema atapitia hapa!
Ukae nae umchue vizuri kwa utamu na rrraha na si maumivu asee Umtibu mpaka apone kabisa utakaporidhia kumuachia sawa ukiona ahamie uko pia sawa!
Smart911 bebe siunajua nishakuruhusugi kitambo so usiniangushe!


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ruhusa naomba itendewe haki vilivyo Smart911

Atachuliwa kwa asali, halwa(halua) akitaka mpaka na juice ya Tende, ila chonde chonde kwa Nurse hakuna mapumziko. Ni matibabu kisha unasepa au sio 😛
 
Thanks bebe. ..
Kam kawa kwa Le great king Smart911 ni kula nakusaza tu. .wakaribie sana jamani

Sent using Jamii Forums mobile app

Wakaribishe wote mahondaw Wangu...
Eid Mubarak...
Depal Mjep yna2 karibuni...

Smart911.jpg
 
Hapana. .huwezi mruhusu mgonjwa kama hajapata nafuu aseeee!
Yeah mtendee mazuri yote yote mfalme wangu . Pia umpe atachotaka bila kusahau nyama ya ulimi pullliiiiizzzzzzzz! . ... anything for him! Smart911
Hii ruhusa naomba itendewe haki vilivyo Smart911

Atachuliwa kwa asali, halwa(halua) akitaka mpaka na juice ya Tende, ila chonde chonde kwa Nurse hakuna mapumziko. Ni matibabu kisha unasepa au sio [emoji14]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom