πππ kwahiyo me kuwepo Chanika ni utundu? Ngoja nitasogea mpaka Ukonga Gomz
Hahahaha. Karibu UnunioTunaanzia kwako
Ununio kubwa Bob, nifate hapa Kibaoni puliziiiMliokosa Mualiko karibuni Ununio, gharama zote zangu kuanzia
Usafiri | misosi | bata | na vurugu zote
Mchawi wewe tu na ratiba yako
Yuleee ni muhimu sana, otherwise pilau haitopita kooniAhsante kwa ushauri..Ngoja nianze na Yule yuleeee..alafu wengine watafuata.
Naachaje kukupunguza kipenzi
Hata hapo ulipo nipo, ila hujaniona π
Hahahaha, sawa niko hapa kwa Mangi Ununio shule napata SupuUnunio kubwa Bob, nifate hapa Kibaoni puliziii
Ila jioni nitakuwa hapo Ununio beach, nitavaa dera jeusi
Yule kanipigia simu kaniambia leo atakuwepo job full time..πππ ati pilau halitapita kooni Mimi huyo..!! Ngoja nikatafute supu babe maana Jana mmhhhYuleee ni muhimu sana, otherwise pilau haitopita kooni
Nenda wewe ila usisahau kuleta mrejesho wa kilichokukera
namaintain sosho distansi mkuu πππππ
Nimepita hapo dk chache zlizopita. Nilikuwa ile butcher ya pale road nina imani hujaniona ππHahahaha, sawa niko hapa kwa Mangi Ununio shule napata Supu
Ili ule?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aah we hunitakii mema labda anitumie nauli
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka dk hii mwaliko unasoma 0-0
Hahahaha, mm nishaanza party ,muda wa kutazama watu road sina kwanza sioni mbaliNimepita hapo dk chache zlizopita. Nilikuwa ile butcher ya pale road nina imani hujaniona [emoji23][emoji23]