Hizo job vepee jamani, soup asubuhi yote hii π we babe wewe, drink responsiblyYule kanipigia simu kaniambia leo atakuwepo job full time..πππ ati pilau halitapita kooni Mimi huyo..!! Ngoja nikatafute supu babe maana Jana mmhhh
HahahaHahahaha, mm nishaanza party ,muda wa kutazama watu road sina kwanza sioni mbali
ππππHizo job vepee jamani, soup asubuhi yote hii π we babe wewe, drink responsibly
Hivi pilau inapitaje na yule hayupo? Haitokwama kwama π
Hongera kwa usiku mzuri, wenye utamu na raha za aina yake πππππ
Babe acha tu..Jana nilikuwa na usiku mzuri mno.
Itapita vizuri babe..na kawine pembeni itapita kwa utraam wote.
ππππHongera kwa usiku mzuri, wenye utamu na raha za aina yake π
Wine na mchele tena
Sawa
Ila waboresha sekta yao..pia warudishe mfumo wa copy za Id za Taifa online
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza stress ni kipindi cha mpito tu utakuwa sawa soonNida ndiyo lidudu gani?
Juzi nilikomaa kuingia nikaambiwa tangu mwez wa kwanza haupo..na pia ulikuwa unasumbua sanaHivi walishatoa huo mfumo. Ulikuwa bomba kweli
Unataka nirudishe chenji eehππππ
Eeh wine na mchele au ugali wa muhogo kabisaπ ..Ukuje nikufundishe kula mchele na wine babe.
Juzi nilikomaa kuingia nikaambiwa tangu mwez wa kwanza haupo..na pia ulikuwa unasumbua sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, mm sitoki hapa kwa mangi mpk usiku mkubwaHahaha
We partika tu, me natafuta chimbo za kutulia baadaye.
Ukinikosa Ununio, utanipata Bahari beach