Je unatumia sana sigara(kuvuta)? Unakunywa sana pombe?kAma ndio,inabidi upunguze kabisa au uache ikiwezekana.Jitahidi pia uwe mtu unayefanya mazoezi ya mwili ili uwe fiti zaidi kiafya pia huchangia stamina kwenye kufanya tendo la ndoa,sio lazima ujazie,la hasha ninamanisha uwe na mazoezi yakawaida ya mwili.
Unapotaka kufanya tendo la ndoa inabidi kisaikolojia ujiweke fiti,usiwe na papara yakuanza kufanya tendo la ndoa mara tuu mamaa anapotua kitandani,inabidi ujifunze kufanya FORE PLAY,hii ni kujitahidi kuchukua hata mda wa dakika 20 kumchezea mpenzi wako sehemu mbali mbali za mwili kumuweka sawa na wewe kisaikologia unakua unavuta subira.Kama ukishamwingia mamaa ndaani ukaona unakaribia kutoa wazungu,kuna njia moja unaaweza kufanya kuhAkikisha hawatoki.Chini ya uume wako kuna mshipa flani,hivyo ubonyeze huo kwanguvu utaona hamu yakutoa wazungu wako haipo,itapotea.
Wengine wanapokua kwenye tendo lile wakati wana do,hutoa akili yao pale na kuipeleka kwingine kabisa ili asikojoe wazungu mapema.Lakini la muhimu zaidi ni kujiandaa kisaikolojia kabla ya tendo la ndoa usiwe na papara ya haaraka ya kutaka ku jig jig,ukiwa na haraka matokeo yake ndo hayo na hata ukishapiga cha kwanza,mpe fursa mpenzi wako akuguse huku na kule kuamsha ashiki ili uweze endelea