Electrical eel samaki anayetoa umeme

nimewah kula mkunga wale wapokama chatu namanisha ngozi yao huyu sjawah kumla vipi analiwa my son?? ubarikiwe mwanangu wa kiume wa pekee
Ndiyo Mama, analiwa ila kumvua ni mbinde haswa! ikitokea wavuvi wamemnasa kwa bahati mbaya huwa wanamkimbia!
 
anakuzaba shoti ya maana alafu unaishia kutuletea kesi tuliokuja kuogolea na wewe hapo kwenye dindi.
 
Wadau wa Nat geo wild tunatabasamu tu hapa!Ila kuna mmoja alishwahi kurecord volts 1200++!Niliona Nat geo wild na wakawa wanatest na kila mara wanapata reading tofauti,juu au chini ya 1000!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…