Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,912
Ukweli, ni kuwa vitu vingi sana wanavyogundua wazungu tunavyo kila siku sema tu sisi huku tukiona tunachukulia tu poa.
Ila, wao wakiona tu kitu ( features ) tofauti hata kwa vitu walivyovizoea wanatangaza faster kuwa wamegundua.
Sasa kwetu Sisi tunaona ila inaishia hapo.
Kazi bado tunayo.
Ila, wao wakiona tu kitu ( features ) tofauti hata kwa vitu walivyovizoea wanatangaza faster kuwa wamegundua.
Sasa kwetu Sisi tunaona ila inaishia hapo.
Kazi bado tunayo.