Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigoma anapatikana na kwa Jina la nyikawatanzania ndo mngekufa kila dakika ziwa lote lingekua high voltage. kama samak mmoja ana volt 860 AC, umeme wa tanesco 220volt ac. hapo navyokua wewe na wenzio mngeenda kwa mpiga ramli
Kamongo ni lungfish na wapo species tofauti na hafanani na EelKweli kama Kamongo,ila sasa Kamongo anafika mita 2?.Wanaweza kuwa wanafanana aisee.
Makamera wanayotumia ni kama yale yanayotumika kuchukua matukio ya mpira.sio lazima ukae karibu na eneo la tukio,unaweza ukawa mita mia au zaidi unafanya kuzoom in tu.Wanachonimaliza hwa wazungu ni jinsi wanavorekodi hizi issue....yaan huwa nashangaa kuliko wanachokirekodi.
Wanaitwa mkungaHawa electricious eel wapo hata kwenye mabwawa mengi tu Dar mfano pale mkwajuni kwa chini mpaka kule jangwani wanapatikana, ubungo - kijitonyama - mwananyamala kuja mpaka kinondoni lile bwawa wanapatikana sana. Mimi kama mimi binafsi nimeshawavua kwa kwa ndoano, na naweza kusema hatukujua kama ana uwezo wa kuzalisha umeme kwasababu mara nyingi tukishamtoa mtoni kwa ndoano tulikuwa tunawapiga kichwani ili wafe tukiamini baada ya dakika chache wanageuka nyoka kumbe in unknown reason tulikuwa tunaepuka balaa la umeme wake dah. Mungu alitunusulu kweli kweli
Uko sahihi kabisa, tena nilikuwa sipendi kweli kweli wanase kwenye ndoano maana tulikuwa atuwali so tuliona wanatupotezea muda haha.Wanaitwa mkunga
Hahahaaa... Eti ufe kabisaMmeamkaje? Kweli Mungu Anaumba.From Natgeo Tv Wanetoa Documentary Ya Samaki Umewe Yani Electric Eel.Ukimgusa Anakupiga Shoti Ufe Kabisa Unazikwa.