DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Tupe matokeo yake kama kaingia hata kumi bora.Siyo swala la kulala, msimu huu utakuwa ni wa maajabu sana kwenye selections za chama.
Nilichosema ni kwamba anaweza kupita kwa kuteuliwa na Chama, ila swala la kura za wananchi ni issue nyingine.
Kina Mtulia, Julius, Mwita na wengine wote waliokacha upinzani walipita kugombea tena, je waliokuwepo walikuwa wamelala?
Tupe matokeo yake kama kaingia hata kumi bora.
Safi kabsakwa hilo sisi tufanyeje labda? kakojoe ulale kalume kenge
Yule ni ng'ombe aliyekatwa mkia.Amechemka, ila kwangu naiona kama ni hatua ya kwanza.
He is still young, anaweza sasa kuanza kujiimarisha kwenye chama ili uchaguzi ujao awe ni mwenyeji kwenye chama.
Yule ni ng'ombe aliyekatwa mkia.
Hahah mkuu kwanza yule bwn mdogo amepata kura 13 tu,lkn ana afadhali kuliko mashinji aliyelamba kura 2 tu.Hahaha, ila siasa ina mambo mengi mkuu. Mimi sishangai kabisa.
Kumbuka wakitukimbia tunawapa majina mabaya, ila wakija kwetu tunawapamba na majina mazuri.
Mifano halisi ni kwa Lowassa, Sumaye, sasa tumemchukua Membe na wengine wengi tu.
Hahah mkuu kwanza yule bwn mdogo amepata kura 13 tu,lkn ana afadhali kuliko mashinji aliyelamba kura 2 tu.
Chadema walishajifunza kosa la kumpokea Lowassa na wafuasi wake lkn Zitto yeye naona kaamua kichwa ngumu tu.
Kweli mkuu,lkn Nyerere angekuwepo enzi hizi angesikitika sana aisee.Siasa hazitabiliki kabisa aisee.
Vijana kama Silinde, Nassari na Lijuakali walikuwa na career ambayo ni as good as assured kupitia CDM, ila sijui imekuaje aisee.
I hope Magufuli atawafanyia wepesi kwenye teuzi baada ya uchaguzi.
Kweli mkuu,lkn Nyerere angekuwepo enzi hizi angesikitika sana aisee.
Kwamba kuna watu wanakuja kugombea CCM ili wakishindwa tu wana uhakika wa kupata u-dc/rc/das/ kwa maana ya kwamba chama chake sasa kimegeuzwa ni cha kugawana ma vyeo tu?Na sio kwamba vyeo vitapewa kwa watu based on competence/merits?
Hawa wakina Nassari/Silinde/Lijualikali mimi naona ni kama future zao ndio zimekufa tu unless wategemee hivi vyeo vya kuteuliwa na Mkuu lkn kwny hivi vyeo vya kuingia ulingoni aisee they're done.
Kajitahidi, huo ni mtaji.
Aanze sasa kujijenga ndani ya chama ili uchaguzi ujao awe amekwiva.
Asubuhi, tena Tunaomba uchaguzi mkuu kura zihesabiwe live kama hiviHata yeye angeruhusu ushindani kwenye nafasi ya uraisi asingeamini ambacho angekiona lazima meza ingepinduliwa.
We ujui usanii wa jiwe subiri uone hao watafute kazi zingine tuSiasa hazitabiliki kabisa aisee.
Vijana kama Silinde, Nassari na Lijuakali walikuwa na career ambayo ni as good as assured kupitia CDM, ila sijui imekuaje aisee.
I hope Magufuli atawafanyia wepesi kwenye teuzi baada ya uchaguzi.
Hakawezi na hakana muda huo kana tamaa ya madaraka kakiwa kadogo.Amechemka, ila kwangu naiona kama ni hatua ya kwanza.
He is still young, anaweza sasa kuanza kujiimarisha kwenye chama ili uchaguzi ujao awe ni mwenyeji kwenye chama.
Asubuhi, tena Tunaomba uchaguzi mkuu kura zihesabiwe live kama hivi
Hakawezi na hakana muda huo kana tamaa ya madaraka kakiwa kadogo.
Kasubiri uteuzi tu huenda kakabahatika
Katika maisha ogopa Sana kuipoteza cv na heshima yako kwa Jamii.Linda Sana ulichonacho utajua thamani yake kikishaondoka.Siasa hazitabiliki kabisa aisee.
Vijana kama Silinde, Nassari na Lijuakali walikuwa na career ambayo ni as good as assured kupitia CDM, ila sijui imekuaje aisee.
I hope Magufuli atawafanyia wepesi kwenye teuzi baada ya uchaguzi.
Uteuzi kalisha pewa ukatibu tarafaHakawezi na hakana muda huo kana tamaa ya madaraka kakiwa kadogo.
Kasubiri uteuzi tu huenda kakabahatika