Uchaguzi 2020 Elia Michael: Nimejaza na kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Jimbo la Buyungu

Uchaguzi 2020 Elia Michael: Nimejaza na kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Jimbo la Buyungu

NILICHOKIONA UCHAGUZI HUU NDANI YA CCM YEYOTE ANAYEJINASIBISHA KAMA MTU WA “mfalme” WENYE CHAMA CHAO WAMEPIGA MKASI ; Mfano

Wapinzani waliounga mkono juhudi
Mwandishi anayeongoza propaganda za kumtetea mfalme - MUSIBA
Kijana mwingine anayeendesha magazeti ya kutukana watu kapigwa huko Kibaha
Mchungaji Gwajima ambaye ni Kiongozi wa kikundi Cha kikabila ( interehamwe) kinachojifanya nj Cha kumlinda mfalme “ sic

Alafu angalia watu ambao Inaonekana amewaondoa kama Gambo na Ndugulile walivyobebwa

Inakulikana wazi pia Gambo ni mfuasi mzuri wa Membe toka 2015 aliyejitahidi kuvaaa ngozi

Ccm wameonyesha uasi kwa mwenyekiti wao
 
Back
Top Bottom