TANZIA Elias Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa afariki dunia


Umejibu vema sana na nnashukuru kwa mchango wako mkuu.
Kwanza kabisa, naomba nikutaarifu kwamba nilishaugua huu ugonjwa na nikapona, nnavyokwambia hofu inawamaliza watu na kufanya hali iwe mbaya zaidi nnaelewa nnachokisema.

Tokea mwaka huu uanze, umetumia usafiri wa public? Tafiti zilizosababisha tukaambiwa tutadondoka kama kuku na maiti zitazagaa si ni hizo hjzo projection za kisayansi? Na kimsingi kwa tunavyoishi na tafiti za kitaalam zinavyoelekeza, iliktakiwa tupukutike, tumeendelea kujazana bila kuzingatia tahadhari kama tulivyoambiwa na wataalam kwamba uongonjwa unaenea kwa hewa. Niambie kitu gani kimezuia tusipukutike kwa kasi kama tafiti zinavyoelekeza pale njia zilizopendekezwa zinapokiukwa.

Maana ya chanjo ni nini mkuu? Achilia mbali ya Covid-19, neno vaccination linamaanisha nini kwako kama mtafiti?

Hakuna mahali nimetaja kujifukiza...ili uelewe swali langu, naomba nieleze Covid-19 ni ugonjwa wa aina gani, dalili zake ni zipi na unaambukizwa kwa njia gani? Naomba urejee tafiti za kitaalam lakini pia utumie akili yako vizuri kwa sababu ntakurudisha kwenye maswali ya kawaida na hali halisi, uwe tayari kuhusianisha nadharia za utafiti na ntakayoyauliza baada ya maswali yako.

Nimeuliza hayo maswali sio kwamba nabeza hizo tahadhari au kutokuthamini kinga, swali ni kwamba, tunauelewa huu ugonjwa vizuri na tunatumia njia sahihi kupambana nao? Hapo ndio msingi wa maswali yote haya. Wengi sasa hivi dalili tulizoambiwa ndio za Covid 19 hatuzioni tena, watu hawakohoi, hawana mafua, ni homa, viungo kuuma, mahuti na kukutwa na mauti. Bado tunaambukizana kwa hewa?
 
Hizi degree za Mzumbe zinazoiva haraka kama maharage ya Mbeya, Takataka tupu nchi hii ya shetani eti leo ni Waziri. Bila Basic degree ni ubabaishaji mtupu.
MASTERS OF BUSINESS ADMINISTRATION (MBA):
 
Yeye Mwamakula hata kufa ? Toka lini kufa ni sherehe kwa mwingine wakati ni wajibu?
Mimi huyu sijawahi kumsikia lkn wote ndio hao hao wanahudumu katka regime ya Katili , muuaji mkubwa. Ngoja amkumbatie Jiwe huko liliko
 
 
Sio ngoma. Jamani hapa nalia Sukuma gang mwenzangu katuacha [emoji24].Basi Samia wizara ya Ulinzi ataweka Mzanzibari mwenzake.

Ni majonzi maana massawe nae katoka kumtapeli marehemu laki tano juzi tu hapo,
 

Apumzike kwa amani Elias Kuandikwa.

Ni yale madhara ya kucheleshwa mno kwa Janssen tokea Johnson & Johnson.

Yule bwana wa Chatto hawezi kukwepa lawama.

Hadi pale tutakapokuwa tumechanjwa safari itakuwa bado sana.

Tutege masikio.
 
Sukuma gang tunalia .
Pole kwa kufiwa ndugu, Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki cha msiba.

Ila hii comment yako ni tata, inachanganya watu so ni vyema ukaiedit au kama kama umeandika kwa malengo yako maalum basi iache hivyo hivyo.
 
Tumshukuru Mungu, kwenye eneo letu hili la Afrika, Mwenyezi katuwekea kinga ambayo hadi sasa haijulikani inatokana na kitu gani juu ya ugonjwa huu.
WE are living in a sea of microbes as opposed to Western World and the US. Mfano tunaishi kwenye bahari ya hewa ambayo virus wa mafua ndio wanaotawala anga.

Tumekuwa nao kwa miaka tangu dunia inaumbwa. Miili yetu imejenga some sort of immunity against an array of millions of strains of mafua viruses which are related to covid virus.

It is most likely kuna cross-reacting antibodies ambazo zinatusaidia kumkabili covid virus na hivyo kutoshudia vifo kama ilivyokuwa imetabiriw.

I am sure ukifanya analysis ya genetic diversity ya corona virus na mafua virus utaona some similarity of antigens between the two ie Common cold virus and corona virus and hence cross reacting antibodies
 
Pole kwa kufiwa ndugu, Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki cha msiba.

Ila hii comment yako ni tata, inachanganya watu so ni vyema ukaiedit au kama kama umeandika kwa malengo yako maalum basi iache hivyo hivyo.

Usukuma kwenye CV unatia kichefu chefu. Binafsi sikumbuki kuwahi kuona CV yenye kabila la mtu mumo kwa mumo.

Au nasema uongo dada Victoire?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…