ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Imekuwa habari ya kuchekesha?Johnson ameanza kazi [emoji16][emoji16][emoji16]
RIP KWAKE. MUNGU AMREHEMU.
POLE RAIS NA WAFIWA WOTE WALIOFIKWA NA MSIBA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekuwa habari ya kuchekesha?Johnson ameanza kazi [emoji16][emoji16][emoji16]
RIP KWAKE. MUNGU AMREHEMU.
POLE RAIS NA WAFIWA WOTE WALIOFIKWA NA MSIBA.
Umepata wapi maneno hayo ??Heri wafu wafao katika Bwana maana atakapokuja atawafufua ktk ufufuo ule wa kwanza
Act Jimbo wazi Hilo ingieni kwenye uchaguzi na mi ccm yenzenu.
Mwana memba shybush....sijuwi alikuwa bweni la Chui au Twiga...Delta variant?
Pole zao wafiwa.
Memba wa Shybush ..jirani dawati na Kimei masiaradibiiRIP!
Kama ulikuwa Nhobhola gelisi Yeye alikuwa Shybushi pole Mama Mdenyi salimia Omurushaka...ikibidi Kaishoheeeeee
Shida ya huyu delta wala hutougua Sana utajiskia uchovu kichwa mwisho wa siku pumz inakata.RIPJuzi akiwa na mazungumzo na balozi wa Rwanda kwenye mapambano na waasi Kaskazini mwa Msumbiji akiwa buheri wa afya.
Upotoshaji utakuwa mfuasi wa Gwajima tokea lini mgonjwa wa corona akapewa chanjo marehemu inawezekana alianza kuugua kabla ya chanjo haijazinduliwa TZ na lazima upone kwanza ndio upate vaccine.Jonhson & jonhson
Duu! Noma sana.Huyu c ndiye aliyetapeliwa na massawe