nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Poleni sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasema kuwa chanjo ya Johnson ndio iliyomuua?Chanjo zimeanza kufanya kazi.
Johnson Kaupiga mwingi kwa ndugu Waziri.
piayaweza kuwa tunasingizia mabeberu kumbe ni kazi ya mikono yetu wenyeweCorona bandia imeangusha serikali nzima.
Mabeberu sio watu.
of what use, johnthebaptist dunia ya leoNaomba ufafanuzi wa kiitifaki wanajamvi.
Nani anatakiwa kumpa pole nani kama ilivyo katika kichwa cha thread hapo juu.
RIP waziri wa ulinzi
cc : Pascal Mayalla
Kipenzi cha Magufuli huyu halafu kafa bado kijana sana duh!!
Kwamba kuna kuganda damu??Huenda ni kweli
Kama amekufa akiwa ccm hawezi kukosa kashfa. Kashfa ya kwanza ya kwanza kabisa walipitishwa tu bila kupigiwa kura na wananchi. Kwa bunge hili huo ndio mtihani wa kwanza,kwa yoyote anaedhani ni muadilifuMoja ya watu waliokufa bila kashifa, mtu muungwana sana sana.
Msalimie Magufuli mwambie huku Matozo kama yote.
Covid bwana haya bwana!!
Mkuu unapondaje CV ya jamaa? Hujui hiyo ndo iliyomfikisha hapo alipo.
Uganjwa gani? isije ikawa chagamoto za kupumua wakati na chanjo alikua tayari amesha chanjaMsemaji wa Hospitali ya taifa Muhimbili amesema aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa hayati Elias Kwandikwa alilazwa hospitalini hapo kwa muda wa siku 14 kabla umauti haujamfika.
RIP Kwandikwa
Umejuaje?Uganjwa gani? isije ikawa chagamoto za kupumua wakati na chanjo alikua tayari amesha chanja
@zito unaitwa huku, kuna ujumbe wako pleaseAct Jimbo wazi Hilo ingieni kwenye uchaguzi na mi ccm yenzenu.
kesho mungu analiitaBado IGP ndio tutafurahi saaaana