Kaka poa yuleMmmh.... Kingu naye ni wakuaminiwa!!?πππππ
,huwezi jitambua mnufaika wa ufisadi,tunasimama na luhaga adi mjue yakuwa hatupendi wizi wenuUko wodi ya milembe ndio maana uko katika kusanyiko la vichaa, fanya utoke huko
Nyirambas,Mmmh.... Kingu naye ni wakuaminiwa!!?πππππ
Eti unamwita Gwajima Askofu anayemlaani Mpina, huyu Askofu wa ngono leo alaani mtu?Ni rasmi sasa Mpina ni mbunge aliyelaaniwa. Hii imetokana na Askofu Gwajima kunukuu aya ya biblia ambayo wabunge waliitikia ameen, aya hiyo inapinga kumfitini nduguyo.
Baadhi ya wabunge walimfananisha Luhaga Mpina na nguruwe, na wengine walimfananisha na nyani.
Elibariki Kingu ameeleza Bunge kwamba Mpina alilipa kila chombo cha habari milioni kumi ili kusambaza habari zake za uongo na za ufitini. Watu wanahoji Mpina alipata wapi zaidi ya milioni 150 kulipa vyombo hivyo, na baadhi wanasema alifadhiliwa na mabwana zake wenye viwanda vya sukari.
Mpina ajitafakari.
View attachment 3025121
Baada ya hii laana, hakuna jambo lolote atakalofanya Mpina litafanikiwa. Amefungwa mbinguni na duniani kwa laana kuuEti unamwita Gwajima Askofu anayemlaani Mpina, huyu Askofu wa ngono leo alaani mtu?
CCM ni CCM wanatawala watu wao, na wataendelea; Wananchi kama mfano wako wewe ndiyo waumiaji na bado mnapiga makofi ati Mpina kalaaniwa; nyie ndiyo mmelaniwa
Hakuambiwa alete ushahidiMbunge mjinga uyo kungu anaropoka uongo
Ndio nashangaaVipi huyo hajaambiwa alete ushahidi?
Huyu Kingu tukianza kuandamana kama kule Kenya ndio wakuanza nae, kwa, kuwa anaongea pumba sana.Na ana makandomakando mengi.Ni rasmi sasa Mpina ni mbunge aliyelaaniwa. Hii imetokana na Askofu Gwajima kunukuu aya ya biblia ambayo wabunge waliitikia ameen, aya hiyo inapinga kumfitini nduguyo.
Baadhi ya wabunge walimfananisha Luhaga Mpina na nguruwe, na wengine walimfananisha na nyani.
Elibariki Kingu ameeleza Bunge kwamba Mpina alilipa kila chombo cha habari milioni kumi ili kusambaza habari zake za uongo na za ufitini. Watu wanahoji Mpina alipata wapi zaidi ya milioni 150 kulipa vyombo hivyo, na baadhi wanasema alifadhiliwa na mabwana zake wenye viwanda vya sukari.
Mpina ajitafakari.
View attachment 3025121
MUNGU WA KUWASIKILIZA WABUNGE JAHIRI WA CCM NI YUPI? AU WANA MUNGU WAO WAMEMCHONGA? MUNGU AMSIKILIZE GWAJIMA MWIZI WA KURA?Ni rasmi sasa Mpina ni mbunge aliyelaaniwa. Hii imetokana na Askofu Gwajima kunukuu aya ya biblia ambayo wabunge waliitikia ameen, aya hiyo inapinga kumfitini nduguyo.
Baadhi ya wabunge walimfananisha Luhaga Mpina na nguruwe, na wengine walimfananisha na nyani.
Elibariki Kingu ameeleza Bunge kwamba Mpina alilipa kila chombo cha habari milioni kumi ili kusambaza habari zake za uongo na za ufitini. Watu wanahoji Mpina alipata wapi zaidi ya milioni 150 kulipa vyombo hivyo, na baadhi wanasema alifadhiliwa na mabwana zake wenye viwanda vya sukari.
Mpina ajitafakari.
View attachment 3025121
Uhuru na ukombozi wa nchi hii hautapatikana kwa kuandamana, hata Mzee Nyerere alikabidhiwa nchi na mkoloni kwa kukaa na kuongea mezaniHuyu Kingu tukianza kuandamana kama kule Kenya ndio wakuanza nae, kwa, kuwa anaongea pumba sana.Na ana makandomakando mengi.
Kuandamana ndio solution. Soma history zote za hii dunia. Hauwez kukaa tu, bila kupambana. Unless uwe na matatizo ya akili.Uhuru na ukombozi wa nchi hii hautapatikana kwa kuandamana, hata Mzee Nyerere alikabidhiwa nchi na mkoloni kwa kukaa na kuongea mezani
Rushwa inaitafuna hii nchi, bunge limegeuka mahakama sababu ya rushwaNi rasmi sasa Mpina ni mbunge aliyelaaniwa. Hii imetokana na Askofu Gwajima kunukuu aya ya biblia ambayo wabunge waliitikia ameen, aya hiyo inapinga kumfitini nduguyo.
Baadhi ya wabunge walimfananisha Luhaga Mpina na nguruwe, na wengine walimfananisha na nyani.
Elibariki Kingu ameeleza Bunge kwamba Mpina alilipa kila chombo cha habari milioni kumi ili kusambaza habari zake za uongo na za ufitini. Watu wanahoji Mpina alipata wapi zaidi ya milioni 150 kulipa vyombo hivyo, na baadhi wanasema alifadhiliwa na mabwana zake wenye viwanda vya sukari.
Mpina ajitafakari.
View attachment 3025121
Nakuelewa sn comradeKuandamana ndio solution. Soma history zote za hii dunia. Hauwez kukaa tu, bila kupambana. Unless uwe na matatizo ya akili.
Huu ujinga wa wazee wa CCM kuwapachika watoto wao kuwa viongoz, tena ambao waliiba mitihani ya kidato cha nne na wengine walifeli ni dharau sana. Mungu atatusaidia watanzania. Kenya wameanza sisi tutamaliza.