Elimu hii muhimu sana hukufundishwa shuleni, ipate hapa

Mleta mada upo sawa kabisa. Elimu Yako imekusaidia kuona sisi ndo fursa Yako Kwa hili tu nakupongeza sana lkn kamwe vijana wa aina hii huwezi kuwapata Wala kuwaona hata kama ungeweka free Entry

Vijana wenyewe 👇👇
 

Attachments

  • 6b4623a4fc3292194774ef5316b96900.mp4
    5.8 MB
kwani hujui kuwa elimu bora ni hile unaenda kununua ???

hakuna kitu cha bure bro unanunua maarifa,unachakata maarifa,then idea inakuja unaanza kuuza maarifa uliyo nunua

nadhania sisi waafrica ni watu wa negativity sana
 
hii nchi yangu bado elimu inahitajika nimeona mabroo ambao huwa naona wako very bright on comment eti na wao wanaponda kuhusu hiyo semina kwakuwa ina kiingilio cha shilling 65k daaaah noma sana
 
fact mkuu ,though kias anachotaka kinalenga kwamb yupo kibiashara zaidi so ni kuwadidimiza kabisa waliokuwa na lengo la kukuza mtaji
 
Asante kwa taarifa kiongozi,. Uzuri ni kwamba Watakaokuja hawana mda wa kuandika upuuzi hapa,.

So hizi toxic comments wala zisikukatishe tamaa,.

Haya anayetaka nimlipie aseme asaidiwe ili mpunguze makasiriko
Naomba unilipie dada. Hiyo hela tuma kwenye mamba hii...
 
Asante kwa taarifa kiongozi,. Uzuri ni kwamba Watakaokuja hawana mda wa kuandika upuuzi hapa,.

So hizi toxic comments wala zisikukatishe tamaa,.

Haya anayetaka nimlipie aseme asaidiwe ili mpunguze makasiriko
Uzuri mimi naishi karibu na Mbezi Garden na nazijua conference rooms zote, kama atapata hao watu nitajuwa. Na nitarudi kwenye comment yako ili tuone kwelie kama mawazo yetu ni TOXIC
 
kwani hujui kuwa elimu bora ni hile unaenda kununua ???

hakuna kitu cha bure bro unanunua maarifa,unachakata maarifa,then idea inakuja unaanza kuuza maarifa uliyo nunua

nadhania sisi waafrica ni watu wa negativity sana
Athibitishe basi kama yeye amefuzu kwa kutuwekea Bank statements hapa!! Mwamposa atupige, Kiboko ya wachawi atupige, na huyu naye anataka kutupiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…