Wanajitoaga ufahamu, mwanamke anajicho mara 2 zaidi ya mwanaume na ndiyo maana anaweza kufanya kazi 3 kwa pamoja na zote zikaenda sawa.Pamoja na kupewa mwongozo na sir God waishi na sisi kwa akili, bado kuna wakulungwa wanaseme eti wanawake hawana akili, hawajawahi kugundua kitu....hihihiii nacheka kIsuKUMa
Kwani si ndiyo wazuri kuwaendesha hawana kiburi?tatizo wanawake wenye elimu ndogo na kipato duni ukimpata/akikupata hakawii kukuroga na malimbwata na chuma ulete juu, we jaribu kudate na hawa wavaa madera uone kazi
utajuta
dah..Aisee mnapenda kuanzisha nyuzi za lawama kwenye wabaya na wema wapo
Kazana hadi mara kumi uridhike vizuriNipo naiangalia Avatar yako mara mbili mbili
Wana msemo wao sku hizi MARRIAGE IS ANOTHER FORM OF SLAVERYIli mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na heshima kwa mume na atomatic mume atampenda mkewe na wataishi kwa furaha na amani TELE.
nakazia hapaMimi nachojua mfumo wa dunia(Muumba?) imeweka kauzibe fulani kwa mwanamke ambako mwanamke akika-Unlock anakua smarter na Multitasking X100 zaidi ya mwanaume. Hii inafanya wanaume tunajaa wivu zaidi yao maana by nature tunajua kwamba jinsi Ke inafaa kua Submissive kwa mwanaume, Moja ya kitu kinachofungua hako kauzibe ni Elimu + Financial freedom
Ni kama wivu fulani hivi hua tunaupata kwamba wanachukua nafasi zetu ambazo actually we are not endowed to those positions but we were favored to since ulichopewa kama dhamana unaweza kunyanganywa na kupewa mwingine
Kikubwa turudi kwenye misingi ya Uanaume, maybe kuna sehemu tunakosea ndio maana wanakuja kubeba status zetu kwa kasi ya mwanga🤔
tunataka wanawake zetu wawe na elimu, pesa na HESHIMA.... Hivo tu..Hamtaki wanawake zenu wawe na elimu na pesa..wakati huohuo hamtaki kuwahudumia na kuombwa pesa na bado Kuna vijisimango vya kukosa elimu hahaha..wanaume bwana
nakaziaIli mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na heshima kwa mume na atomatic mume atampenda mkewe na wataishi kwa furaha na amani TELE.
Hakuna watu wanafiki kama wanaume waliooa wanawake wenye vijielimu na viajira. Wataigiza igiza watakudanganya kua ndoa ziko imara ila ukweli ndoa za kuoa mwanamke mwenye kiajira na kaelimu HAZINA AMANI HAPA PUNJE. Ni mashindano, kutunishiana misuli, migogoro isiyoisha nk.
Mwanamke hakuumbwa kua mmiliki wa mali akipata kamali kokote lazima ajimwambafy mpaka akhera kumsikie. Hata hawa vifeminist vya humu jf vikina cariha , Miss Natafuta nk hivi vyote utakuta ni vinesi na vimwalimu vya shule ya msingi. Mwanamke hata awe na kamshahara ka laki sita atajimwambafy kejeli na dharau utadhani CEO wa Microsoft haa ha ha
Kijana oa mwanamke mrembo, mwenye elimu ya kawaida na asiye na ajira utakuja kunishukuru hawa wenye masters wacha waolewe na masters zao. Kuna jamaa yetu alikua anajifanya mr. malove love akaoa kamwanamke kamwanasheria kana masters waliachana ndani ya miaka 2 tu.
Usioe mwanamke mwenye ajira eti kusaidiana maisha, kwanza kwa vijihela vyake vya kununulia chupi atakudharau, atakusimanga, na wala hata kusaidia kwa lolote wanamake ni wabinafsi wa kutupwa. Oa mwanamke utakae mhudumia na kumtunza ATAKUHESHIMU na automatically UTAMPENDA na hivyo ndio ilipasa kua.
Wanawake wasomi na wenye hela wasioolewa na umri umekwenda sema kama 38 kuendelea hua wapweke sana, na kwa hasira na uchungu wao huwajaza sumu wasichana wadogo ili nao waharibikiwe kawa wao.
=====
Kupata maoni zaidi soma:Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!
Hehetunataka wanawake zetu wawe na elimu, pesa na HESHIMA.... Hivo tu..
Mwanamke kuwa kuwa na pesa na elimu awe nayo tena ata phd ila muhimu ni kwamba heshima apewe mume kama kichea cha familiaHamtaki wanawake zenu wawe na elimu na pesa..wakati huohuo hamtaki kuwahudumia na kuombwa pesa na bado Kuna vijisimango vya kukosa elimu hahaha..wanaume bwana
Hawezi kua na pesa na heshimaHehe
Sawa
Sasa wewe ndo huelewi hata unachokisema, sawa na kusema umkaange samaki na bado abaki hai. MWANAMKE AKIWA NA PESA TAYARI HAWEZI KUMUHESHIMU MUME.Mwanamke kuwa kuwa na pesa na elimu awe nayo tena ata phd ila muhimu ni kwamba heshima apewe mume kama kichea cha familia
Kweli kabisa...wanatuona takataka hawa viumbe. So tuwagegegde tuuSasa wewe ndo huelewi hata unachokisema, sawa na kusema umkaange samaki na bado abaki hai. MWANAMKE AKIWA NA PESA TAYARI HAWEZI KUMUHESHIMU MUME.
Haaha haa mkuu ni kupelekea moto tu ndio kilichobakiKweli kabisa...wanatuona takataka hawa viumbe. So tuwagegegde tuu
Umeongea point mzeya hawa ni kuwagegeda tuuuHaaha haa mkuu ni kupelekea moto tu ndio kilichobaki
Sasa wewe ndo huelewi hata unachokisema, sawa na kusema umkaange samaki na bado abaki hai. MWANAMKE AKIWA NA PESA TAYARI HAWEZI KUMUHESHIMU MUME.
Na wakati huo huo wanasomesha watoto wao wakike ila mama zao wanataka wawe mbululaHamtaki wanawake zenu wawe na elimu na pesa..wakati huohuo hamtaki kuwahudumia na kuombwa pesa na bado Kuna vijisimango vya kukosa elimu hahaha..wanaume bwana
Mwenye elimu / asie na elimu , oa rafiki yako. Oa mtu ambae mnaweza kuwa marafiki , haya mengine yote hayatatokeaIli mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na heshima kwa mume na atomatic mume atampenda mkewe na wataishi kwa furaha na amani TELE.
Hakuna watu wanafiki kama wanaume waliooa wanawake wenye vijielimu na viajira. Wataigiza igiza watakudanganya kua ndoa ziko imara ila ukweli ndoa za kuoa mwanamke mwenye kiajira na kaelimu HAZINA AMANI HAPA PUNJE. Ni mashindano, kutunishiana misuli, migogoro isiyoisha nk.
Mwanamke hakuumbwa kua mmiliki wa mali akipata kamali kokote lazima ajimwambafy mpaka akhera kumsikie. Hata hawa vifeminist vya humu jf vikina cariha , Miss Natafuta nk hivi vyote utakuta ni vinesi na vimwalimu vya shule ya msingi. Mwanamke hata awe na kamshahara ka laki sita atajimwambafy kejeli na dharau utadhani CEO wa Microsoft haa ha ha
Kijana oa mwanamke mrembo, mwenye elimu ya kawaida na asiye na ajira utakuja kunishukuru hawa wenye masters wacha waolewe na masters zao. Kuna jamaa yetu alikua anajifanya mr. malove love akaoa kamwanamke kamwanasheria kana masters waliachana ndani ya miaka 2 tu.
Usioe mwanamke mwenye ajira eti kusaidiana maisha, kwanza kwa vijihela vyake vya kununulia chupi atakudharau, atakusimanga, na wala hata kusaidia kwa lolote wanamake ni wabinafsi wa kutupwa. Oa mwanamke utakae mhudumia na kumtunza ATAKUHESHIMU na automatically UTAMPENDA na hivyo ndio ilipasa kua.
Wanawake wasomi na wenye hela wasioolewa na umri umekwenda sema kama 38 kuendelea hua wapweke sana, na kwa hasira na uchungu wao huwajaza sumu wasichana wadogo ili nao waharibikiwe kawa wao.
=====
Kupata maoni zaidi soma:Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!