Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi

Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi

Pamoja na kupewa mwongozo na sir God waishi na sisi kwa akili, bado kuna wakulungwa wanaseme eti wanawake hawana akili, hawajawahi kugundua kitu....hihihiii nacheka kIsuKUMa
Wanajitoaga ufahamu, mwanamke anajicho mara 2 zaidi ya mwanaume na ndiyo maana anaweza kufanya kazi 3 kwa pamoja na zote zikaenda sawa.
 
tatizo wanawake wenye elimu ndogo na kipato duni ukimpata/akikupata hakawii kukuroga na malimbwata na chuma ulete juu, we jaribu kudate na hawa wavaa madera uone kazi

utajuta
Kwani si ndiyo wazuri kuwaendesha hawana kiburi?
 
Ili mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na heshima kwa mume na atomatic mume atampenda mkewe na wataishi kwa furaha na amani TELE.
Wana msemo wao sku hizi MARRIAGE IS ANOTHER FORM OF SLAVERY
 
Mimi nachojua mfumo wa dunia(Muumba?) imeweka kauzibe fulani kwa mwanamke ambako mwanamke akika-Unlock anakua smarter na Multitasking X100 zaidi ya mwanaume. Hii inafanya wanaume tunajaa wivu zaidi yao maana by nature tunajua kwamba jinsi Ke inafaa kua Submissive kwa mwanaume, Moja ya kitu kinachofungua hako kauzibe ni Elimu + Financial freedom

Ni kama wivu fulani hivi hua tunaupata kwamba wanachukua nafasi zetu ambazo actually we are not endowed to those positions but we were favored to since ulichopewa kama dhamana unaweza kunyanganywa na kupewa mwingine

Kikubwa turudi kwenye misingi ya Uanaume, maybe kuna sehemu tunakosea ndio maana wanakuja kubeba status zetu kwa kasi ya mwanga🤔
nakazia hapa

kunywa soda kwa mangi nakuja kulipa

wanaume mmezoea mfumo dume, kuonea kunyanyasa na kudhulumu, wanawake

sasa mwanamke akishakuwa na elimu na pesa hawez kukubali unyanyasaji

mtaachana tu
 
N
Ili mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na heshima kwa mume na atomatic mume atampenda mkewe na wataishi kwa furaha na amani TELE.

Hakuna watu wanafiki kama wanaume waliooa wanawake wenye vijielimu na viajira. Wataigiza igiza watakudanganya kua ndoa ziko imara ila ukweli ndoa za kuoa mwanamke mwenye kiajira na kaelimu HAZINA AMANI HAPA PUNJE. Ni mashindano, kutunishiana misuli, migogoro isiyoisha nk.

Mwanamke hakuumbwa kua mmiliki wa mali akipata kamali kokote lazima ajimwambafy mpaka akhera kumsikie. Hata hawa vifeminist vya humu jf vikina cariha , Miss Natafuta nk hivi vyote utakuta ni vinesi na vimwalimu vya shule ya msingi. Mwanamke hata awe na kamshahara ka laki sita atajimwambafy kejeli na dharau utadhani CEO wa Microsoft haa ha ha

Kijana oa mwanamke mrembo, mwenye elimu ya kawaida na asiye na ajira utakuja kunishukuru hawa wenye masters wacha waolewe na masters zao. Kuna jamaa yetu alikua anajifanya mr. malove love akaoa kamwanamke kamwanasheria kana masters waliachana ndani ya miaka 2 tu.

Usioe mwanamke mwenye ajira eti kusaidiana maisha, kwanza kwa vijihela vyake vya kununulia chupi atakudharau, atakusimanga, na wala hata kusaidia kwa lolote wanamake ni wabinafsi wa kutupwa. Oa mwanamke utakae mhudumia na kumtunza ATAKUHESHIMU na automatically UTAMPENDA na hivyo ndio ilipasa kua.

Wanawake wasomi na wenye hela wasioolewa na umri umekwenda sema kama 38 kuendelea hua wapweke sana, na kwa hasira na uchungu wao huwajaza sumu wasichana wadogo ili nao waharibikiwe kawa wao.


=====

Kupata maoni zaidi soma:Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!
nakazia
 
Hamtaki wanawake zenu wawe na elimu na pesa..wakati huohuo hamtaki kuwahudumia na kuombwa pesa na bado Kuna vijisimango vya kukosa elimu hahaha..wanaume bwana
Mwanamke kuwa kuwa na pesa na elimu awe nayo tena ata phd ila muhimu ni kwamba heshima apewe mume kama kichea cha familia
 
Sasa wewe ndo huelewi hata unachokisema, sawa na kusema umkaange samaki na bado abaki hai. MWANAMKE AKIWA NA PESA TAYARI HAWEZI KUMUHESHIMU MUME.
Kweli kabisa...wanatuona takataka hawa viumbe. So tuwagegegde tuu
 
Sasa wewe ndo huelewi hata unachokisema, sawa na kusema umkaange samaki na bado abaki hai. MWANAMKE AKIWA NA PESA TAYARI HAWEZI KUMUHESHIMU MUME.


Siyo kweli.

Kuheshimu au kutoheshimu mume siyo sababu ya elimu/pesa ya mwanamke maana hata wasio na elimu nao wapo wasio heshimu waume zao.

Kwa hiyo ujeuri ni hulka tu ya mtu tu mwenyewe.
 
Ili mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na heshima kwa mume na atomatic mume atampenda mkewe na wataishi kwa furaha na amani TELE.

Hakuna watu wanafiki kama wanaume waliooa wanawake wenye vijielimu na viajira. Wataigiza igiza watakudanganya kua ndoa ziko imara ila ukweli ndoa za kuoa mwanamke mwenye kiajira na kaelimu HAZINA AMANI HAPA PUNJE. Ni mashindano, kutunishiana misuli, migogoro isiyoisha nk.

Mwanamke hakuumbwa kua mmiliki wa mali akipata kamali kokote lazima ajimwambafy mpaka akhera kumsikie. Hata hawa vifeminist vya humu jf vikina cariha , Miss Natafuta nk hivi vyote utakuta ni vinesi na vimwalimu vya shule ya msingi. Mwanamke hata awe na kamshahara ka laki sita atajimwambafy kejeli na dharau utadhani CEO wa Microsoft haa ha ha

Kijana oa mwanamke mrembo, mwenye elimu ya kawaida na asiye na ajira utakuja kunishukuru hawa wenye masters wacha waolewe na masters zao. Kuna jamaa yetu alikua anajifanya mr. malove love akaoa kamwanamke kamwanasheria kana masters waliachana ndani ya miaka 2 tu.

Usioe mwanamke mwenye ajira eti kusaidiana maisha, kwanza kwa vijihela vyake vya kununulia chupi atakudharau, atakusimanga, na wala hata kusaidia kwa lolote wanamake ni wabinafsi wa kutupwa. Oa mwanamke utakae mhudumia na kumtunza ATAKUHESHIMU na automatically UTAMPENDA na hivyo ndio ilipasa kua.

Wanawake wasomi na wenye hela wasioolewa na umri umekwenda sema kama 38 kuendelea hua wapweke sana, na kwa hasira na uchungu wao huwajaza sumu wasichana wadogo ili nao waharibikiwe kawa wao.


=====

Kupata maoni zaidi soma:Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!
Mwenye elimu / asie na elimu , oa rafiki yako. Oa mtu ambae mnaweza kuwa marafiki , haya mengine yote hayatatokea
 
Back
Top Bottom