Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi

Hao unao wazungumzia ww ukiwafuatilia wana list ya bodaboda na viben ten wanao wa sugua papuchi.

Ngono si kila kitu kama hujaonja aka bikra, ila ukisha onja lazime atalitafuta rungu la kipepe tena kama hao age imeenda lazima watumie hela tu na ndipo bodaboda na viben ten vina ingia kazini.
 
Vipi kwa upande wako, je mtoto wako wa kike hutoitaji awe na elim kubwa au ajira ili tu aolewe?
 
Wewe mwanamke kakuzidi mihela huko kujiamini kunatokea na wapi....ni sawa na mwanamke ambae hana tako au elimu atajiamini vipi? Angalau uwe na kimoja wapo ndio utajiamini
unajiamini tu, mwanaume ni mwanaume, fanya majukum yako kwa uwezo wako. Kama hatokuheshimu jua umeoa gume gume
 
unajiamini tu, mwanaume ni mwanaume, fanya majukum yako kwa uwezo wako. Kama hatokuheshimu jua umeoa gume gume
Wewe unaleta somjo tuu. Majukumu ni kitunza familia...sasa ndalama ya kutunza familia huna huo uanaume unautoa wapi🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanza mlivyo wachungu na hela zenu...eventualy tuu utataka kidume mwenye mihela zaidi yako
 
Wewe unaleta somjo tuu. Majukumu ni kitunza familia...sasa ndalama ya kutunza familia huna huo uanaume unautoa wapi🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanza mlivyo wachungu na hela zenu...eventualy tuu utataka kidume mwenye mihela zaidi yako
mnakariri tatizo, hivi we unapata laki 8 mimi 1.5 mil, nishindwe kununua chakula ndani wakat wewe unalipa kodi na ada?
 
mnakariri tatizo, hivi we unapata laki 8 mimi 1.5 mil, nishindwe kununua chakula ndani wakat wewe unalipa kodi na ada?
Yaani wewe unapata mara mbili zaidi ya gu alafu wewe baadala ya kubeba jukumu la ada na kodi unachukua hilo la chakula🤣🤣🤣🤣 typical female behaviour!
 
Yaani wewe unapata mara mbili zaidi ya gu alafu wewe baadala ya kubeba jukumu la ada na kodi unachukua hilo la chakula🤣🤣🤣🤣 typical female behaviour!
sasa we hujui hesabu kumbe, hamna kitu kinatumia hela kama chakula uliza popote, tena m nataman sana nwe na atakayenipa jukumu la ada na kodi mbona mana naona ni rahisi kuliko chakula
 
sasa we hujui hesabu kumbe, hamna kitu kinatumia hela kama chakula uliza popote, tena m nataman sana nwe na atakayenipa jukumu la ada na kodi mbona mana naona ni rahisi kuliko chakula
Chakula mbona sii wali maharage na ugali maharage siku imepita.
 
ona ss yani watoto wapate utapiamlo kisa ubahiri wako, haya basi na kodi si elf 50 na ada primary bure sekondari haifik laki, hapo vipi?
Mhm watoto waende primary bure huko mbele i tutakuwa na watoto vilaza bibie...wee tugangamale tuu hiyo 1.5 fuoeleke watoto shule nzuri. Hizi za kata tutaishia kulia huko mbeleni achana na somjo za wanasiasa
 
Pia watoto wale balanced meal sio mawali maharage ili wapate afya ya akili na kufanya vizuri
Sawa wife nimeelewa tutaongeza matunda hapo na mbogamboga...sasa usisahau kwenda kumalizia ile ada maana mwalimu mkuu amenipigia simu hapa nukumbushia🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kweli kamanda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…