Huu ni mfano mdogo tu unaoonesha hatujui tunachokifanya kielimu!
Tazama majina ya sayari kwa kingereza halafu ulinganishe na kiswahili chake, huu ni mzigo kwa watoto lakini hatuoni kama taifa!
Miaka saba asome majina kwa Kiswahili halafu tena kitu kilekile aje aanze upya kukisoma secondary kikiwa na jina tofauti unategegemea nini!
Sayari kwa kingereza
1. Mercury 2. Venus 3. Earth 4. Mars 5. Jupiter 6. Sutan 7. Uranus 8 Netune 9. Pluto
Sayari zile zile kwa kiswahili
1. Mercury > ZEBAKI
2. Venus >ZUHURA
3. Earth > DUNIA
4. Mars > MIRIHI
5. Jupiter >SUMBULA
6. Sutan > SARATENI
7. Uranus> ZOHARI
8. Neptune> KAUSI
9.Pluto >KIBETE AU UTARIDI
Kwanini Wizara ya Elimu na BAKITA majina haya wasingeyatohoa kama yanavyotamkwa kwa Kingereza iwe ndo Kiswahili chake?
Elimu ni nyepesi sana lakini tunaifanya iwe mzigo pasipo sababu ya msingi!
Leo mtoto anafundishwa hii ni ZUHURA baadae tena mtoto huyo kesho anabadilishiwa kuwa ile inaitwa VENUS! Na hatuoni kuwa kuna shida!
Wizara ya elimu na bakita mnaweza saidia kupunguza ugumu wa ELIMU ili kupata wasomi wa kweli wanaoelewa na siyo kukariri!
Chimbuko la kisayansi libakisheni asili yake hata kama litatamkwa kiswahili!
Mambo mengi watoto inabidi wakariri kuliko kuelewa na ndiyo maana hadi Leo hatuna wasomi wakutatua matatizo yetu wenyewe! Kwasababu mfumo unalazimisha tukariri kuliko kuelewa!
Tazama majina ya sayari kwa kingereza halafu ulinganishe na kiswahili chake, huu ni mzigo kwa watoto lakini hatuoni kama taifa!
Miaka saba asome majina kwa Kiswahili halafu tena kitu kilekile aje aanze upya kukisoma secondary kikiwa na jina tofauti unategegemea nini!
Sayari kwa kingereza
1. Mercury 2. Venus 3. Earth 4. Mars 5. Jupiter 6. Sutan 7. Uranus 8 Netune 9. Pluto
Sayari zile zile kwa kiswahili
1. Mercury > ZEBAKI
2. Venus >ZUHURA
3. Earth > DUNIA
4. Mars > MIRIHI
5. Jupiter >SUMBULA
6. Sutan > SARATENI
7. Uranus> ZOHARI
8. Neptune> KAUSI
9.Pluto >KIBETE AU UTARIDI
Kwanini Wizara ya Elimu na BAKITA majina haya wasingeyatohoa kama yanavyotamkwa kwa Kingereza iwe ndo Kiswahili chake?
Elimu ni nyepesi sana lakini tunaifanya iwe mzigo pasipo sababu ya msingi!
Leo mtoto anafundishwa hii ni ZUHURA baadae tena mtoto huyo kesho anabadilishiwa kuwa ile inaitwa VENUS! Na hatuoni kuwa kuna shida!
Wizara ya elimu na bakita mnaweza saidia kupunguza ugumu wa ELIMU ili kupata wasomi wa kweli wanaoelewa na siyo kukariri!
Chimbuko la kisayansi libakisheni asili yake hata kama litatamkwa kiswahili!
Mambo mengi watoto inabidi wakariri kuliko kuelewa na ndiyo maana hadi Leo hatuna wasomi wakutatua matatizo yetu wenyewe! Kwasababu mfumo unalazimisha tukariri kuliko kuelewa!