Elimu siyo ngumu lakini mambo kama haya ndiyo yanaifanya iwe ngumu kwa watoto; Wizara ya Elimu, BAKITA boresheni

Hapo bado maneno mapya kwenye masomo mengine nilisikia
  1. Kani
  2. Neli mtoleo
  3. Viasili
  4. Makadi
  5. Ngamizi
  6. Puku
  7. Zandawizi
  8. Ndaki
  9. Dindilimunyo
Frustration tupu
Hii inawahusu watoto wa makabwela wanasoma vitu vipya kwa lugha mpya wakati watoto wa watengeneza mitaala wanasoma vitu kwa kiingereza
 
Wanaoendelea na masomo kwenye nchi kama Ukraine, Germany, Japan, China au Russia wanakaa darasani mwaka mzima kujifunza lugha hizo tu.
Huwezi kuwalinganisha hao na watoto
 
Mada bomba kabisa ambayo nimeanza nsyo mwaka nashukuru mtoa mada sisi kama wadau tujitahidi kulisemea hili kwenye majukwaa mbalimbali
 
Kuna haja kutokana na mabadiliko ya ghafla ya lugha toka msingi kwenda sekondari kuwe na mwaka mmoja wa kunoa Kiingereza chao thereafter ndio masomo mengine yafundishwe. Kiingereza cha msingi kimsingi hamna kitu unless English Medium at least.
Kuna ubaya gani shule zote zitoe elimu inayofanana toka awali hadi vyuo, watoto wa wenye uwezo wanasoma kiingereza from day 1, hawa wengine wanasoma kwa kiswahili halafu mbele wanabadiilishiwa lugha kiasi cha kuwachanganya na kuwachelewesha kujifunza na kuelewa
 
Ndiyo maana watoto wanauliza maswali ya kiingereza kwa muundo wa Kiswahili.

"My pen is where?" [emoji3]
Hata viongozi wenyewe wakiwa majukwaani wanahangaika kuchanganya lugha hawaeleweki
 
Kama kuna advocate wa elimu nchini kutolewa kwa Kiingereza from elimu ya awali to the highest level ni mimi.

Ushauri ulioni-quote ni endapo Serikali itaendelea kung'ang'ania mfumo uliopo wa Kiswahili then Kiingereza.
 
Pluto ilishapokwa sifa ya kuwa sayari

Sayari zimebaki bane tu.

Wazungu wajinga sana,miaka yote tuliambiwa pluto ni sayari kumbe uongo
Na bado miongoni mwao mpaka majuzi wanaendelea kubishana
 


Mkuu kama umeweza kuyahifadhi majina hayo kwa namna hiyo basi hapo unawapa nguvu hao wabunifu wa hayo majina kuendelea na ubunifu zaidi wa maneno mapya, inatakiwa wavunjwe moyo ili majina ya kiingereza yaliyokuwepo kitumika ili kutowachanganya watoto na elimu yetu kwa ujumla.
 
Nimeyatafuta kitabuni kwakuwa mpaka leo nimeshindwa kuyakariri
 
Duh
 
We jamaa ni wa tukuyu..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…