Nimekuwa na madudu mengi katika idara ya elimu Ubungo baadhi kwa kutaja ni kama;
1. Kucheleweshwa kwa watumishi kupandishwa madaraja.
2. Kila mara kutolipwa au kukopwa posho kwa wasimamizi wa mitihani ya utamilifu (mock).
3. Kutokuwa na utaratibu mzuri wa mawasiliano na kutoa maagizo ya zima moto nk
Leo ni aibu kubwa Mtihani wa mock mkoa kufanyika hadi usiku wa Saa 12: 45 na kwa ratiba tofauti,
Wilaya zingine wamefuata ratiba kama ilivyopangwa ila Ubungo imekuja mitihani pungufu kwa masomo yote hali iliyolazimu kikao shule kuanza kufanya mtihani uliopatikana kwa utofauti wake na muda wake.
Je thamanii ya mtihani iko wapi na je matokeo yake yatakuwaje maana kuna tetesi kuwa zipo shule hadi mwisho zimefanya masomo matano badala ya sita.
Hii ni aibu iliyotokana na mazoea yaliyopita, sasa ni muda wa kurekebisha madudu haya ambayo yamekuwa yakiwaumiza walimu na wazazi waliochangia mitihani hii.
1. Kucheleweshwa kwa watumishi kupandishwa madaraja.
2. Kila mara kutolipwa au kukopwa posho kwa wasimamizi wa mitihani ya utamilifu (mock).
3. Kutokuwa na utaratibu mzuri wa mawasiliano na kutoa maagizo ya zima moto nk
Leo ni aibu kubwa Mtihani wa mock mkoa kufanyika hadi usiku wa Saa 12: 45 na kwa ratiba tofauti,
Wilaya zingine wamefuata ratiba kama ilivyopangwa ila Ubungo imekuja mitihani pungufu kwa masomo yote hali iliyolazimu kikao shule kuanza kufanya mtihani uliopatikana kwa utofauti wake na muda wake.
Je thamanii ya mtihani iko wapi na je matokeo yake yatakuwaje maana kuna tetesi kuwa zipo shule hadi mwisho zimefanya masomo matano badala ya sita.
Hii ni aibu iliyotokana na mazoea yaliyopita, sasa ni muda wa kurekebisha madudu haya ambayo yamekuwa yakiwaumiza walimu na wazazi waliochangia mitihani hii.