Elimu ya dini iwekewe mkazo mashuleni na iwe ni somo la lazima kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu

Elimu ya dini iwekewe mkazo mashuleni na iwe ni somo la lazima kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu

Sijawahi kuona uvumbuzi wowote uliofanywa na dini, dunia iko katika mapinduzi ya 4 ya viwanda na teknolojia kuelekea mapinduzi ya 5 bado unawaza watoto wetu wafundishwe stori za muhammad na yesu wa nazareth?? si bora hata wafundishwe stori za kina chief mkwawa na mangungo zinazoendana na mazingira yao.
 
Maadili hutoa maana au muundo dhahiri wa maisha ya mwanaadamu, Maadili ni kanuni fulani za msingi ambazozinapaswa kushikiliwa katika maisha. Maisha ya kuishi bila maadili hatimaye mtu ataishia kuhisi kutoridhika, kuhisi mwenye hatia na huzuni.

Kama mtoto asipolelewa bila sheria ni haraka zaidi kuharibika na kuharibiwa na jamii yake.

Maadili ndio yanatoa hekima ya kutofautisha kati ya lililo jema na lisilo sahihi. Uelewa wa kile kilicho sawa na kibaya (hayo ndio maadili).

Vituo vya kufundisha maadili ni Nyumbani, Shuleni na Vituo vya ibada (Misikiti, Makanisa, Madrasa na Sunday School). Kwasasa asilimia kubwa Majumbani kwetu hakuna maadili yanayofundishwa kwasababu wazazi hawana muda na watoto, wazazi wote wawili wako busy kutafuta pesa.

Hivyo sehemu inayotegemewa zaidi ni Vituo vya ibada ambapo napo kuna yumba sana hakutoi nafasi ya kutosha, nafasi iliyobaki pekee ipo Mashuleni ambapo mtoto anatumia muda mwingi zaidi huko shuleni.

Ajabu ni kwamba huko Shuleni somo la dini ambalo ndio kitovu cha maadili lipo tu kama sehemu ya mapumziko na halihesabiwi na kuwekewa uzito ipasavyo.

Ingawa nyakati za sasa watu hawalipi uzito mkubwa swala la maadili katika maisha yao. Lakini sababu kubwa ya kuporomoka kwake ni watu kuacha misingi ya dini zao na mafundisho ya imani zao, Serikali kufuta masomo ya dini na kutoyapa kipaombele katika kumpandisha au kumshusha mwanzanzi kitaaluma.

Wazazi sasa wanazingatia zaidi ujuzi wa watoto wao wa kielimu au kifedha, Lakini wakisahau kumfanya kijana wao kuwa "binadamu" mzuri, kwamba kuzingatia maadili yao kutawafanya kufanikiwa zaidi.

Ikiwa masomo ya dini yatapewa kipaombele mashuleni na kujumuishwa katika kumfelisha au kumfaulisha mwanafunzi bila shaka watoto watahudhuria Sunday School na Madrasa kwa wingi, bila shaka wazazi watawahimiza watoto wao kwenda Sunday school na Madrasa ambako huko ndiko maadili hufundishwa zaidi kuliko hata nyumbani.

Ni hatari sana binaadamu kuishi bila hofu, ni hatari sana binaadamu kuishi bila kujali chochote wala lolote. Maadili pekee ndio humpa hofu mwanaadamu, ni maadili pekee ndio humuwekea mipaka mwanaadamu.

Vijana wakiwa na maadili wizi na unyang'anyi vitapungua, umalaya na ukahaba vitapungua, wanawake watapunguza kutembea uchi, mashoga watapungua, mauaji yatapungua, talaka zitapungua, unyanyasaji utapungua, rushwa itapungua, ufisadi utapungua, ulevi utapungua, magerezani watu watapungua na bajeti ya serikali ya kukabiliana na uhalifu itapungua.

BAKIIF Islamic
Kimara, Dar Es Salaam


View attachment 2865067
Tunahitaji kutenganisha dini na Taifa, wewe unataka kutuendeleza kwenye giza.

Imani ni shambulio la akili.
 
Ili madrasa na sunday school ziheshimike na zipate watoto ni lazima Serikali iliweke somo la dini kua lazima katika mitaala.
Mawazo yako yananishangaza sana,

How serikali iingilie mambo haya ya kiimani!?

Uko sawa kweli wewe?
 
Unataka kutuletea balaa tuu, dini yako nenda msikitini au kanisani huku nje hatutaki kusikia, matatizo na mavita yote katiba historia ya hii Dunia 99% ni hizo dini tuu, tafadhari mtuache, Sheria tulizonazo zinatosha kutuweka msitalini na kuishi kwa amani baina yetu
 
Maadili hutoa maana au muundo dhahiri wa maisha ya mwanaadamu, Maadili ni kanuni fulani za msingi ambazo zinapaswa kushikiliwa katika maisha. Maisha ya kuishi bila maadili hatimaye mtu ataishia kuhisi kutoridhika, kuhisi mwenye hatia na huzuni.

Kama mtoto asipolelewa bila sheria ni haraka zaidi kuharibika na kuharibiwa na jamii yake.

Maadili ndio yanatoa hekima ya kutofautisha kati ya lililo jema na lisilo sahihi. Uelewa wa kile kilicho sawa na kibaya (hayo ndio maadili).

Vituo vya kufundisha maadili ni Nyumbani, Shuleni na Vituo vya ibada (Misikiti, Makanisa, Madrasa na Sunday School). Kwasasa asilimia kubwa Majumbani kwetu hakuna maadili yanayofundishwa kwasababu wazazi hawana muda na watoto, wazazi wote wawili wako busy kutafuta pesa.

Hivyo sehemu inayotegemewa zaidi ni Vituo vya ibada ambapo napo kuna yumba sana hakutoi nafasi ya kutosha, nafasi iliyobaki pekee ipo Mashuleni ambapo mtoto anatumia muda mwingi zaidi huko shuleni.

Ajabu ni kwamba huko Shuleni somo la dini ambalo ndio kitovu cha maadili lipo tu kama sehemu ya mapumziko na halihesabiwi na kuwekewa uzito ipasavyo.

Ingawa nyakati za sasa watu hawalipi uzito mkubwa swala la maadili katika maisha yao. Lakini sababu kubwa ya kuporomoka kwake ni watu kuacha misingi ya dini zao na mafundisho ya imani zao, Serikali kufuta masomo ya dini na kutoyapa kipaombele katika kumpandisha au kumshusha mwanafunzi kitaaluma.

Wazazi sasa wanazingatia zaidi ujuzi wa watoto wao wa kielimu au kifedha, Lakini wakisahau kumfanya kijana wao kuwa "binadamu" mzuri, kwamba kuzingatia maadili yao kutawafanya kufanikiwa zaidi.

Ikiwa masomo ya dini yatapewa kipaombele mashuleni na kujumuishwa katika kumfelisha au kumfaulisha mwanafunzi bila shaka watoto watahudhuria Sunday School na Madrasa kwa wingi, bila shaka wazazi watawahimiza watoto wao kwenda Sunday school na Madrasa ambako huko ndiko maadili hufundishwa zaidi kuliko hata nyumbani.

Ni hatari sana binaadamu kuishi bila hofu, ni hatari sana binaadamu kuishi bila kujali chochote wala lolote. Maadili pekee ndio humpa hofu mwanaadamu, ni maadili pekee ndio humuwekea mipaka mwanaadamu.

Vijana wakiwa na maadili wizi na unyang'anyi vitapungua, umalaya na ukahaba vitapungua, wanawake watapunguza kutembea uchi, mashoga watapungua, mauaji yatapungua, talaka zitapungua, unyanyasaji utapungua, rushwa itapungua, ufisadi utapungua, ulevi utapungua, magerezani watu watapungua na bajeti ya serikali ya kukabiliana na uhalifu itapungua.

BAKIIF Islamic
Kimara, Dar Es Salaam


View attachment 2940837
Ukiristo hauna code ya mavazi hata wakivaa mini skirt wanaenda kusali
 
Maadili hutoa maana au muundo dhahiri wa maisha ya mwanaadamu, Maadili ni kanuni fulani za msingi ambazo zinapaswa kushikiliwa katika maisha. Maisha ya kuishi bila maadili hatimaye mtu ataishia kuhisi kutoridhika, kuhisi mwenye hatia na huzuni.

Kama mtoto asipolelewa bila sheria ni haraka zaidi kuharibika na kuharibiwa na jamii yake.

Maadili ndio yanatoa hekima ya kutofautisha kati ya lililo jema na lisilo sahihi. Uelewa wa kile kilicho sawa na kibaya (hayo ndio maadili).

Vituo vya kufundisha maadili ni Nyumbani, Shuleni na Vituo vya ibada (Misikiti, Makanisa, Madrasa na Sunday School). Kwasasa asilimia kubwa Majumbani kwetu hakuna maadili yanayofundishwa kwasababu wazazi hawana muda na watoto, wazazi wote wawili wako busy kutafuta pesa.

Hivyo sehemu inayotegemewa zaidi ni Vituo vya ibada ambapo napo kuna yumba sana hakutoi nafasi ya kutosha, nafasi iliyobaki pekee ipo Mashuleni ambapo mtoto anatumia muda mwingi zaidi huko shuleni.

Ajabu ni kwamba huko Shuleni somo la dini ambalo ndio kitovu cha maadili lipo tu kama sehemu ya mapumziko na halihesabiwi na kuwekewa uzito ipasavyo.

Ingawa nyakati za sasa watu hawalipi uzito mkubwa swala la maadili katika maisha yao. Lakini sababu kubwa ya kuporomoka kwake ni watu kuacha misingi ya dini zao na mafundisho ya imani zao, Serikali kufuta masomo ya dini na kutoyapa kipaombele katika kumpandisha au kumshusha mwanafunzi kitaaluma.

Wazazi sasa wanazingatia zaidi ujuzi wa watoto wao wa kielimu au kifedha, Lakini wakisahau kumfanya kijana wao kuwa "binadamu" mzuri, kwamba kuzingatia maadili yao kutawafanya kufanikiwa zaidi.

Ikiwa masomo ya dini yatapewa kipaombele mashuleni na kujumuishwa katika kumfelisha au kumfaulisha mwanafunzi bila shaka watoto watahudhuria Sunday School na Madrasa kwa wingi, bila shaka wazazi watawahimiza watoto wao kwenda Sunday school na Madrasa ambako huko ndiko maadili hufundishwa zaidi kuliko hata nyumbani.

Ni hatari sana binaadamu kuishi bila hofu, ni hatari sana binaadamu kuishi bila kujali chochote wala lolote. Maadili pekee ndio humpa hofu mwanaadamu, ni maadili pekee ndio humuwekea mipaka mwanaadamu.

Vijana wakiwa na maadili wizi na unyang'anyi vitapungua, umalaya na ukahaba vitapungua, wanawake watapunguza kutembea uchi, mashoga watapungua, mauaji yatapungua, talaka zitapungua, unyanyasaji utapungua, rushwa itapungua, ufisadi utapungua, ulevi utapungua, magerezani watu watapungua na bajeti ya serikali ya kukabiliana na uhalifu itapungua.

BAKIIF Islamic
Kimara, Dar Es Salaam


View attachment 2940837
Na mkiongea habari za dini mpaka mbalance ukiristo na uislam kana kwamba mtoa maada una dini mbili

Unaogopa nini kuelezea maadili katika nyanja ya dini yako, nijuavyo maadili ni suala pana kuna maadhi ya dini hazina maadili naturally bora hata mila na tamaduni nyingine ambazo hazihusiani na dini

Mtoa mada kuwa specific
 
Back
Top Bottom