Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo haina ukomo, akitokea kiongozi ni mpagani ataapishwa kipagani,Kwa hiyo viongozi na watawala wa nchii hii wanakula kiapo kwa kutumia kitabu gani? kitabu cha mila na desturi au kitabu cha dini?
China, Czech na Scandinavian walishaachana na dini na bado wanaendelea vizuri tu.Dini inahusika na mahusiano kati ya Mungu na mtu binafsi. Maadili hutegemea hiari na dini juu ya hisia za kiakili. Katika maendeleo ya mwanadamu, maadili na dini vyote viwili hukua pamoja na kuathiriana.
Dini ya wahadzabe ni ipi? Ukijitafakari kimaadili unadhani una maadili bora kuliko wahadzabe?Dini ni sehemu isiyoepukika ya asili ya mwanadamu. Kwa sababu hiyo ni muhimu watoto wetu wafahamu dini na tamaduni nyingine.
Dini ndio huchocheoa ubora wa maadili kwa vizazi
Tunahitaji kutenganisha dini na Taifa, wewe unataka kutuendeleza kwenye giza.Maadili hutoa maana au muundo dhahiri wa maisha ya mwanaadamu, Maadili ni kanuni fulani za msingi ambazozinapaswa kushikiliwa katika maisha. Maisha ya kuishi bila maadili hatimaye mtu ataishia kuhisi kutoridhika, kuhisi mwenye hatia na huzuni.
Kama mtoto asipolelewa bila sheria ni haraka zaidi kuharibika na kuharibiwa na jamii yake.
Maadili ndio yanatoa hekima ya kutofautisha kati ya lililo jema na lisilo sahihi. Uelewa wa kile kilicho sawa na kibaya (hayo ndio maadili).
Vituo vya kufundisha maadili ni Nyumbani, Shuleni na Vituo vya ibada (Misikiti, Makanisa, Madrasa na Sunday School). Kwasasa asilimia kubwa Majumbani kwetu hakuna maadili yanayofundishwa kwasababu wazazi hawana muda na watoto, wazazi wote wawili wako busy kutafuta pesa.
Hivyo sehemu inayotegemewa zaidi ni Vituo vya ibada ambapo napo kuna yumba sana hakutoi nafasi ya kutosha, nafasi iliyobaki pekee ipo Mashuleni ambapo mtoto anatumia muda mwingi zaidi huko shuleni.
Ajabu ni kwamba huko Shuleni somo la dini ambalo ndio kitovu cha maadili lipo tu kama sehemu ya mapumziko na halihesabiwi na kuwekewa uzito ipasavyo.
Ingawa nyakati za sasa watu hawalipi uzito mkubwa swala la maadili katika maisha yao. Lakini sababu kubwa ya kuporomoka kwake ni watu kuacha misingi ya dini zao na mafundisho ya imani zao, Serikali kufuta masomo ya dini na kutoyapa kipaombele katika kumpandisha au kumshusha mwanzanzi kitaaluma.
Wazazi sasa wanazingatia zaidi ujuzi wa watoto wao wa kielimu au kifedha, Lakini wakisahau kumfanya kijana wao kuwa "binadamu" mzuri, kwamba kuzingatia maadili yao kutawafanya kufanikiwa zaidi.
Ikiwa masomo ya dini yatapewa kipaombele mashuleni na kujumuishwa katika kumfelisha au kumfaulisha mwanafunzi bila shaka watoto watahudhuria Sunday School na Madrasa kwa wingi, bila shaka wazazi watawahimiza watoto wao kwenda Sunday school na Madrasa ambako huko ndiko maadili hufundishwa zaidi kuliko hata nyumbani.
Ni hatari sana binaadamu kuishi bila hofu, ni hatari sana binaadamu kuishi bila kujali chochote wala lolote. Maadili pekee ndio humpa hofu mwanaadamu, ni maadili pekee ndio humuwekea mipaka mwanaadamu.
Vijana wakiwa na maadili wizi na unyang'anyi vitapungua, umalaya na ukahaba vitapungua, wanawake watapunguza kutembea uchi, mashoga watapungua, mauaji yatapungua, talaka zitapungua, unyanyasaji utapungua, rushwa itapungua, ufisadi utapungua, ulevi utapungua, magerezani watu watapungua na bajeti ya serikali ya kukabiliana na uhalifu itapungua.
BAKIIF Islamic
Kimara, Dar Es Salaam
View attachment 2865067
Mawazo yako yananishangaza sana,Ili madrasa na sunday school ziheshimike na zipate watoto ni lazima Serikali iliweke somo la dini kua lazima katika mitaala.
Sahihi kabisaTatizo unaowaambia nao maadili hawana, hivyo wala hawaelewi unaongea nini.
Ni products za ukosefu wa maadili
Karibu sanaBandiko murua
Kwanini, FafanuaElimu ya Dini iondolewe mashuleni.
Itazalisha Magaidi na Wasabato Masalia wengi.
Shule itakuwa kijiwe cha kubishania Dini.
Ukiristo hauna code ya mavazi hata wakivaa mini skirt wanaenda kusaliMaadili hutoa maana au muundo dhahiri wa maisha ya mwanaadamu, Maadili ni kanuni fulani za msingi ambazo zinapaswa kushikiliwa katika maisha. Maisha ya kuishi bila maadili hatimaye mtu ataishia kuhisi kutoridhika, kuhisi mwenye hatia na huzuni.
Kama mtoto asipolelewa bila sheria ni haraka zaidi kuharibika na kuharibiwa na jamii yake.
Maadili ndio yanatoa hekima ya kutofautisha kati ya lililo jema na lisilo sahihi. Uelewa wa kile kilicho sawa na kibaya (hayo ndio maadili).
Vituo vya kufundisha maadili ni Nyumbani, Shuleni na Vituo vya ibada (Misikiti, Makanisa, Madrasa na Sunday School). Kwasasa asilimia kubwa Majumbani kwetu hakuna maadili yanayofundishwa kwasababu wazazi hawana muda na watoto, wazazi wote wawili wako busy kutafuta pesa.
Hivyo sehemu inayotegemewa zaidi ni Vituo vya ibada ambapo napo kuna yumba sana hakutoi nafasi ya kutosha, nafasi iliyobaki pekee ipo Mashuleni ambapo mtoto anatumia muda mwingi zaidi huko shuleni.
Ajabu ni kwamba huko Shuleni somo la dini ambalo ndio kitovu cha maadili lipo tu kama sehemu ya mapumziko na halihesabiwi na kuwekewa uzito ipasavyo.
Ingawa nyakati za sasa watu hawalipi uzito mkubwa swala la maadili katika maisha yao. Lakini sababu kubwa ya kuporomoka kwake ni watu kuacha misingi ya dini zao na mafundisho ya imani zao, Serikali kufuta masomo ya dini na kutoyapa kipaombele katika kumpandisha au kumshusha mwanafunzi kitaaluma.
Wazazi sasa wanazingatia zaidi ujuzi wa watoto wao wa kielimu au kifedha, Lakini wakisahau kumfanya kijana wao kuwa "binadamu" mzuri, kwamba kuzingatia maadili yao kutawafanya kufanikiwa zaidi.
Ikiwa masomo ya dini yatapewa kipaombele mashuleni na kujumuishwa katika kumfelisha au kumfaulisha mwanafunzi bila shaka watoto watahudhuria Sunday School na Madrasa kwa wingi, bila shaka wazazi watawahimiza watoto wao kwenda Sunday school na Madrasa ambako huko ndiko maadili hufundishwa zaidi kuliko hata nyumbani.
Ni hatari sana binaadamu kuishi bila hofu, ni hatari sana binaadamu kuishi bila kujali chochote wala lolote. Maadili pekee ndio humpa hofu mwanaadamu, ni maadili pekee ndio humuwekea mipaka mwanaadamu.
Vijana wakiwa na maadili wizi na unyang'anyi vitapungua, umalaya na ukahaba vitapungua, wanawake watapunguza kutembea uchi, mashoga watapungua, mauaji yatapungua, talaka zitapungua, unyanyasaji utapungua, rushwa itapungua, ufisadi utapungua, ulevi utapungua, magerezani watu watapungua na bajeti ya serikali ya kukabiliana na uhalifu itapungua.
BAKIIF Islamic
Kimara, Dar Es Salaam
View attachment 2940837
Na mkiongea habari za dini mpaka mbalance ukiristo na uislam kana kwamba mtoa maada una dini mbiliMaadili hutoa maana au muundo dhahiri wa maisha ya mwanaadamu, Maadili ni kanuni fulani za msingi ambazo zinapaswa kushikiliwa katika maisha. Maisha ya kuishi bila maadili hatimaye mtu ataishia kuhisi kutoridhika, kuhisi mwenye hatia na huzuni.
Kama mtoto asipolelewa bila sheria ni haraka zaidi kuharibika na kuharibiwa na jamii yake.
Maadili ndio yanatoa hekima ya kutofautisha kati ya lililo jema na lisilo sahihi. Uelewa wa kile kilicho sawa na kibaya (hayo ndio maadili).
Vituo vya kufundisha maadili ni Nyumbani, Shuleni na Vituo vya ibada (Misikiti, Makanisa, Madrasa na Sunday School). Kwasasa asilimia kubwa Majumbani kwetu hakuna maadili yanayofundishwa kwasababu wazazi hawana muda na watoto, wazazi wote wawili wako busy kutafuta pesa.
Hivyo sehemu inayotegemewa zaidi ni Vituo vya ibada ambapo napo kuna yumba sana hakutoi nafasi ya kutosha, nafasi iliyobaki pekee ipo Mashuleni ambapo mtoto anatumia muda mwingi zaidi huko shuleni.
Ajabu ni kwamba huko Shuleni somo la dini ambalo ndio kitovu cha maadili lipo tu kama sehemu ya mapumziko na halihesabiwi na kuwekewa uzito ipasavyo.
Ingawa nyakati za sasa watu hawalipi uzito mkubwa swala la maadili katika maisha yao. Lakini sababu kubwa ya kuporomoka kwake ni watu kuacha misingi ya dini zao na mafundisho ya imani zao, Serikali kufuta masomo ya dini na kutoyapa kipaombele katika kumpandisha au kumshusha mwanafunzi kitaaluma.
Wazazi sasa wanazingatia zaidi ujuzi wa watoto wao wa kielimu au kifedha, Lakini wakisahau kumfanya kijana wao kuwa "binadamu" mzuri, kwamba kuzingatia maadili yao kutawafanya kufanikiwa zaidi.
Ikiwa masomo ya dini yatapewa kipaombele mashuleni na kujumuishwa katika kumfelisha au kumfaulisha mwanafunzi bila shaka watoto watahudhuria Sunday School na Madrasa kwa wingi, bila shaka wazazi watawahimiza watoto wao kwenda Sunday school na Madrasa ambako huko ndiko maadili hufundishwa zaidi kuliko hata nyumbani.
Ni hatari sana binaadamu kuishi bila hofu, ni hatari sana binaadamu kuishi bila kujali chochote wala lolote. Maadili pekee ndio humpa hofu mwanaadamu, ni maadili pekee ndio humuwekea mipaka mwanaadamu.
Vijana wakiwa na maadili wizi na unyang'anyi vitapungua, umalaya na ukahaba vitapungua, wanawake watapunguza kutembea uchi, mashoga watapungua, mauaji yatapungua, talaka zitapungua, unyanyasaji utapungua, rushwa itapungua, ufisadi utapungua, ulevi utapungua, magerezani watu watapungua na bajeti ya serikali ya kukabiliana na uhalifu itapungua.
BAKIIF Islamic
Kimara, Dar Es Salaam
View attachment 2940837