Nyani Ngabu,
Mimi huo ushauri nilipewa na daktari sikuweza kumbishia,ukizingatia alinifanyia maajabu kwa kunipa tiba ya tatizo lililonisumbua kwa muda mrefu sikuwa na budi kumuamini,japo nakubaliana na wewe kwani hizo product zipo kwa miaka mingi ila kuna tofauti aisee,
Kwani hizi za bongo ukizitumia ni kama umemeza kemikali,zina joto mpaka zinakua kama zinaunguza vile na povu kama la sabuni.
Mimi huo ushauri nilipewa na daktari sikuweza kumbishia,ukizingatia alinifanyia maajabu kwa kunipa tiba ya tatizo lililonisumbua kwa muda mrefu sikuwa na budi kumuamini,japo nakubaliana na wewe kwani hizo product zipo kwa miaka mingi ila kuna tofauti aisee,
Kwani hizi za bongo ukizitumia ni kama umemeza kemikali,zina joto mpaka zinakua kama zinaunguza vile na povu kama la sabuni.