Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Adui namba 1 wa meno ni sukari na sukari inakaribisha bacteria ambao wakiwa wamezoeshwa hiyo sukari basi hupiga kambi kwenye meno.
Hivyo sukari kwenye chai na vinywaji au vyakula vyenye sukari kama doughnuts, cocacola ukitumia lazima ufahamu kwamba ukienda kulala bila kupiga mswaki na kusafisha kinywa basi bacteria wataendelea kula mabaki 24/7 na ndio unaona jino linachimba.
Wenye tatizo la fizi wanatakiwa wamwone hygienist ambae atakushauri namna ya kupiga mswaki na dawa za zinazofaa kutumia.
Hayo maduka ya uzunguni yanaweza kuwa na dawa aina mbalimbali hasa za Uingereza (GlaxoSmithKline - GSK) zenye kazi mahsusi kushughulikia meno likiwemo tatizo la unjano.
Mbali ya dawa maarufu ya Colgate kuna dawa zingine maalum kama vile Oral- B White, Oral B expert, Sensodyne, Pronamel, Corsodyl Daily Original Toothpaste 75ml na Colgate MaXWhite.
Hygienist anashauri namna ya kuondoa uchafu kwenye meno na matabaka au plaque na kuepusha kuoza kwa meno au tooth decay. Pia anashauri vyakula vya kuepuka kula ambavyo vinaharibu meno kwa kasi ya ajabu kama vile chips mayai, vinywaji baridi kama bia na soda.
Hii inasaidia sana kwa wale ambao wana matatizo ya meno ambayo mengine ni ya kurithi.
Hivyo sukari kwenye chai na vinywaji au vyakula vyenye sukari kama doughnuts, cocacola ukitumia lazima ufahamu kwamba ukienda kulala bila kupiga mswaki na kusafisha kinywa basi bacteria wataendelea kula mabaki 24/7 na ndio unaona jino linachimba.
Wenye tatizo la fizi wanatakiwa wamwone hygienist ambae atakushauri namna ya kupiga mswaki na dawa za zinazofaa kutumia.
Hayo maduka ya uzunguni yanaweza kuwa na dawa aina mbalimbali hasa za Uingereza (GlaxoSmithKline - GSK) zenye kazi mahsusi kushughulikia meno likiwemo tatizo la unjano.
Mbali ya dawa maarufu ya Colgate kuna dawa zingine maalum kama vile Oral- B White, Oral B expert, Sensodyne, Pronamel, Corsodyl Daily Original Toothpaste 75ml na Colgate MaXWhite.
Hygienist anashauri namna ya kuondoa uchafu kwenye meno na matabaka au plaque na kuepusha kuoza kwa meno au tooth decay. Pia anashauri vyakula vya kuepuka kula ambavyo vinaharibu meno kwa kasi ya ajabu kama vile chips mayai, vinywaji baridi kama bia na soda.
Hii inasaidia sana kwa wale ambao wana matatizo ya meno ambayo mengine ni ya kurithi.