Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #121
Asante kwa kuleta uzi wenye tija.
Mengi yamesemwa.Ila ukipiga mswaki usisukutue na maji ukimaliza.Iache dawa mdomoni iue vijidudu.
Piga mwaki mara mbili kwa siku na utumie si pungufu ya dakika tano.Hakikisha unasugua na ulimi.
Tumia baking soda mara moja kwa mwezi kuswakia ili ikupe meno meupe.
Msikilize mganga wa meno hapo juu.
Ulimi si wa kusugua. Ni wa kukwanguliwa.