Elimu ya Kinywa: Usafi wa meno na kinywa kwa ujumla, sababu, kinga na tiba za harufu mbaya

Elimu ya Kinywa: Usafi wa meno na kinywa kwa ujumla, sababu, kinga na tiba za harufu mbaya

Hv kuuliza SI ujinga hv vile vichuma vinavyopitaga kwenye meno katikati huwa ni vya nini au meno yakilegea ndo unatia hvyoo

Vile ni kwa ajili ya mpangilio wa meno mkuu

Sisi wengine tuna meno hata kukenua unaona noma

Sasa vile vinarudisha tabasamu

Ukiwekewa baada ya muda unakuwa poa sana.
 
Kwnn mpate tabu na kupoteza pesa kununua dawa za gharama ili kutatua tatizo la kunuka mdomo? Dawa yake ni bei rahisi mno na zinapatikana pharmacy kwa bei cheap sn inaitwa AZZICURE nenda kanunue hyo dawa na kwa yeyote mwenye tatizo la kunuka mdomo bac atumie hyo dawa kisha aje atupe mrejesho hapa kumbuka ni Azzicure na sio Azzuma

Aksanteni
Aisee... nimezunguka maduka mengi sijaipata... nakutana na Azuma tu... ila wanasema ndo hiyo hiyo!! inakuwaje hapa??!!!
 
Hakika Jamii Forum ni shule, kupitia huu uzi nimejifunza mengi japo unamuda mrefu hongera kwako mkuu uliyeanzisha huu uzi.
 
Je Kuna faida gani kiafya kuwa na meno meupe? Nilipata fahamishwa kuwa meno kwa asili yana unjanonjano ambao ni maalum kwa ulinzi wa meno hayo hivyo kuyafanya kuwa meupe unaitoa hiyo Kinga ya asili je ni kweli?
 
Mimi ninatatizo, nikila kitu chenye sukari nyingi mfano Ndizi mbivu ama Asali, jino langu(gego) upande wa kushoto huwa linauma ghafla mithili kama linachoma hivi kwa mda afu linaacha,

Je ni jino litakuwa limetoboka ama? Na kama ni hivo, gharama za kumuona dentist ni affordable?
Ama kuna njia zingine kuzuia hali hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom