Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #121
Asante kwa kuleta uzi wenye tija.
Mengi yamesemwa.Ila ukipiga mswaki usisukutue na maji ukimaliza.Iache dawa mdomoni iue vijidudu.
Piga mwaki mara mbili kwa siku na utumie si pungufu ya dakika tano.Hakikisha unasugua na ulimi.
Tumia baking soda mara moja kwa mwezi kuswakia ili ikupe meno meupe.
Tupe trick za kupata orijino na kuzitofautisha na fake kiongoziNapiga mswaki mara mbili kwa siku asubuhi na usiku kabla ya kulala, pia baada ya kupiga mswaki huwa nasukutua mdomo kwa kutumia mouth wash ya listerine. Dawa za meno ambazo naona ziko vizuri ni Colgate, sensodine na close up ila ni muhimu kununua original.
Nenda insta wacheck "meno yangu" wanasafisha naonaga clip na pics zaovipi kwa wale wenye ya brown ya arusha ukitaka yawe meupe njia ipi n bora isiyo na madhara
Kitz jino moja 30kSidhani kama inawezekana iwapo tunao wataalam kwa TZ, ila kwa nje ya nchi ya nchi hasa Ulaya, inawezekana ila itakuwa ghali sana.
Wanaita "whitening"
Tupe trick za kupata orijino na kuzitofautisha na fake kiongozi
Mama yanguMsikilize mganga wa meno hapo juu.
Ulimi si wa kusugua. Ni wa kukwanguliwa.
Kuna mtu wangu wa karibu sana amabe yeye hupiga mswaki kila asubui na anapolala usiku lakini hua anakua na harufu mbaya sana ya mdomo..tatizo linaweza kua ni nini na anawezaje kupata tiba ya hilo tatizo mkuu.
MKUU KWA DAR ES SALAAM HIYO DAWA YA GSK INAPATIKANA WAPI? ASANTE