jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Hv kuuliza SI ujinga hv vile vichuma vinavyopitaga kwenye meno katikati huwa ni vya nini au meno yakilegea ndo unatia hvyoo
Aisee... nimezunguka maduka mengi sijaipata... nakutana na Azuma tu... ila wanasema ndo hiyo hiyo!! inakuwaje hapa??!!!Kwnn mpate tabu na kupoteza pesa kununua dawa za gharama ili kutatua tatizo la kunuka mdomo? Dawa yake ni bei rahisi mno na zinapatikana pharmacy kwa bei cheap sn inaitwa AZZICURE nenda kanunue hyo dawa na kwa yeyote mwenye tatizo la kunuka mdomo bac atumie hyo dawa kisha aje atupe mrejesho hapa kumbuka ni Azzicure na sio Azzuma
Aksanteni
nipo ArushaAzzicure ni Azuma ya India ni nzr zaidi ya Azuma km upo Dar maduka mengi wanauza cjajua kwa mikoani mana kuna mtu ilibd nmtumie huko alipo
Fanya hv km una ndugu Dar mwambie akununulie af akutumie kuna mtu wa uko uko Arusha alitafuta akakosa ikabd anitumie pesa nikamtumianipo Arusha
Kwa wale wahanga wenye kutoa meno kila leo ..utafunaji wa karafuu ni mzuri Sana ..na Kama jino limetoboka weka unga wa karafuu hapo..utasahau kun'goa meno.
Dawa mujarabu kabisa
Kwa nini ucjue? Lazima ujue tu..Nitajuaje kama kinywa changu kinatoa harufu mbaya?