Elimu ya Lissu haina msaada kwa Watanzania

Hafai kabisa, tena ndie yeye alisaini mikataba hiyo mibovu ya kinyonyaji, pamoja na mikataba mingi inayoleta shida kama IPTL!
 
Mkuu naona jamaa TL yuko kwenye moyo wako
 
Chonde chonde; usitushirikishe kwenye umbumbumbu wako! jambo usilolijua ni kama usiku wa giza tororo.
 
Je kusamehe deni la wizi wa mabilioni barrick kumetunufaisha nini kama taifa? Au ni msamaha wa mdomoni watu wamevuta chao kwa chaguzi zijazo?
 
Lissu alipiga sana kelele juu ya mikataba mibovu ya madini lakini serikali ya CCM hakumsikia na mkaingia mikataba hiyo sasa elimu ya nani haina msaada kati ya lissu na ya wanaCCM??
Wanataka KUTUAMINISHA YALE MASOMI MEZI MABOBEZI YALIYOTUINGIZA CHAKA NA KUTIA NCHI HASARA NDIYO YENYE FAIDA NA NCHI!!!
 
Hafai kabisa, tena ndie yeye alisaini mikataba hiyo mibovu ya kinyonyaji, pamoja na mikataba mingi inayoleta shida kama IPTL!
Kumbe usipousaini mkataba mbovu kazi yako inakuwa ni kuushangilia?
 
Ni heri baba yako angemwaga nje kuliko kumwaga ndani na kumsababishia mama yako kubeba likitu Kama wewe
Au bora mother wake angefanya abortion au baba yake angefanya masturbation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…