Elimu ya Lissu haina msaada kwa Watanzania

Elimu ya Lissu haina msaada kwa Watanzania

Unapoona unafanya jambo alafu adui yako anakwambia acha halina msaada kwako usiliache hata kidogo komaa nalo, tangu lini adui yako akakushauri MEMA juu yako?
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
We kwako imeisaidia vipi familia yako
 
Elitwege ni punga muuza biriani mitaa ya lumumba FC buku saba
Kapata msaidizi huyu hapa
tapatalk_1571921669725.jpeg
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Lisu hakudanganya alisema ukweli na serikali ikafanyia kazi kwa kasi vile vyote alivyosema kwani walikuwa wamejua nini kinafuata, kilichobakia sasa watanzania wanadai Noah zao pia kujua ukweli mwingineo mwingi uliojificha sekita za madini
 
Lissu alipiga sana kelele juu ya mikataba mibovu ya madini lakini serikali ya CCM hakumsikia na mkaingia mikataba hiyo sasa elimu ya nani haina msaada kati ya lissu na ya wanaCCM??
Tokea mwaka 1998 kikwete akiwa waziri wa Nishati na madini alikuwa kaanza kupiga kelele kwa kifupi Tundu lisu ndiye mwasisi wa kukataa mabaya ya uwekezaji kwenye madini
 
Kuna dada mmoja wa ACT Wazalendo alisema huyu mbwekaji naye ni batamzinga na aliwahi kuwekwa kinyumba na mzungu huko Masaki.
Musiba ni kajitu ka ajabu sana hasa pindi kakiwa na njaa kapo tayari hata kulala uvunguni mwa mtu mpaka kapate kile kanachotaka
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
wenzako wamecopy na kupaste desa hilo hilo la Lissu unaloliponda sasa na wamepewa cheo cha uanasheria mkuu wa serikali.Nakushauri umlaumu sana mzee wako aliyekupeka shule zinazotoa elimu bila malipo,bure ni gharama na ndo maana umeeanza kulipia
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
ila elimu ya chenge na Mkapa ndio imeleta faida ?
 
Sialisoma mwenyewe mkuuu
Na inafaida kwa mke wake na watoto wakeee
Na ndugu zakee
Nahao wanatosha kuwa watanzania
Au unawazungumzia akina nani
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
hujaeleweka
 
Ukute hata bunge hajawahi kuangalia kiumbe huyu pia inaonesha jf imevamiwa Sana yaani nahisi Kuna watu wapo kwa 7000 humu. Kazi yao Ni mmoja tu Kama huyo. Sasa na wewe elimu yako imekusaidia nini?
ana degree 4 labda
 
Zitto na Lissu wameleta mabadiliko sana nchi hii kupitia bunge!Sakata la buzwagi lilianzishwa na Zitto,wakiwa na Lissu walisimama vyema kupigania mrabaha kuongezwa kutoka 3%!!!!

Mtemi Chenge(alikuwa mwanasheria mkuu wa serikali na sasa mwenyekiti wa bunge),msomi wa Havard university ametoa mchango gani kwa taifa?

Kila sakata la ufisadi yumo,cha ajabu yuko salama salmini!!!!
zimwi likujualo halikuli hadi ukaisha
 
Tokea mwaka 1998 kikwete akiwa waziri wa Nishati na madini alikuwa kaanza kupiga kelele kwa kifupi Tundu lisu ndiye mwasisi wa kukataa mabaya ya uwekezaji kwenye madini
Wangeweza kuchukua ushauri mujaraab wa Bure kutoka kwa Mh.Lissu miaka hii yote tangu,soko huria/holela,utandawazi na uwekezaji ulipoletwa katika Tanzania,hakika tungekuwa 1st world country(Donor)siku nyingi.Tanzania tuna raslimali za kutosha kutufanya tuwe Giant Nation in Africa.Hatujaandaliwa kuzimiliki,kuzisimamia au kuzilinda kwa makusudi na waliotutawala.
Tubadilike wananchi wote bila itikadi na Tudai kuandika Katiba yetu upya ili tuanze na alifu(From Square Zero if needed).Vinginevyo tutakuta mwana si wetu tena.
Hatujachelewa sana,please!!!
 
Back
Top Bottom