tzkwanza
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 1,568
- 3,610
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulete polisi wa kimataifa unbiased ili michadema iumbuke mkuu unasemaje
Ndio maana siipendi michadema nashauri tulete FBI ili limbowe liumbuke tulikamate unasemaje mkuuChadema kweli walimkosakosa!
Aende akaishi huko FBI kabisaNNdio maana siipendi michadema nashauri tulete FBI ili limbowe liumbuke tulikamate unasemaje mkuu
Mkuu cjakuelewa hoja yangu tuwaite FBI waichunguze ishu ya lisu ili limbowe liumbuke unasemaje
Mkuu,Mkuu cjakuelewa hoja yangu tuwaite FBI waichunguze ishu ya lisu ili limbowe liumbuke unasemaje
Hatuhitaji wakoloni acha kufikiria kitumwa mkuu!NNdio maana siipendi michadema nashauri tulete FBI ili limbowe liumbuke tulikamate unasemaje mkuu
Mkuu unajua sisi polisi wetu hii ishu hatuwaelewi au wanamkingia mbowe kifua maana wapo kimya na si unajua tunatakiwa mbowe aingie kwenye 18 fasta sasa hii ishu tungeita FBI baasi.Hatuhitaji wakoloni acha kufikiria kitumwa mkuu!
Sio taifa tu tuanzie kwenye family level,muulize yeye elimu yake imemsaidia nini mme wake pamoja na jamii inayomzunguka?!
!
Wewe Elimu Yako Imesaidia Nini Taifa.
Sio taifa muulize yeye elimu yake imemsaidia nini mmewe na jamii inayomzunguka?!
!
Wewe Elimu Yako Imesaidia Nini Taifa.
Kasome report ya mkaguzi mkuu wa serikali uone madudu ya chama cha kijani,na hizo pesa alizolipwa,Lisu,kila mbunge upewa,sio lisu tu,Kwa wa kristo wote duniani kipindi cha kwaresma ni kipindi cha toba ambacho watu hukitumia kujirudi kwa muumba wao kwa kuomba na kusamehewa zambi zao.
Si sawa kwenye kipindi cha kwaresma kusema uongo waziwazi na kujilizaliza ili uonekane kwamba unaonewa na kuteseka sana kuliko binadamu wote hapa duniani!
Ndugu yetu huyu Tundu Lisu amekuwa mtu wa kusema uongo na kuzushia wengine mabaya ili waonekane ni wachafu mbele ya jamii, mfano kwa miaka nane alizunguka kote nchini na duniani akimtaja Lowasa kuwa ni fisadi namba moja duniani! Lakini baada ya Lowasa kuinunua chadema na kuwa mgombea urais , ni Lisu huyohuyo tena alizunguka nchi nzima akiwaambia watu kuwa Lowasa siyo fisadi na anafaa kuwa rais wa Tanzania!
Tabia mbaya hii Tundu Lisu aneendelea nayo hata baada ya kupigwa risasi zaidi ya 38, kwanza aliwaahidi wa Tanzania kwamba akipona tu atarudi nyumbani mpaka leo hajafanya hivyo maana yake alisema uongo. Pili ndani ya mwezi huu wa toba Tundu Lisu amelifurumshia uongo na uzushi bunge kwamba hajalipwa madai yake huku akijua si kweli!
Jana Spika Ndugai ameonyesha hadharani nyaraka zote zinazoonyesha Tundu Lisu amelipwa zaidi ya milioni 500 na bunge! ,tena amelipwa hela zingine za kutembelea wapiga kura wakati hajawahi kufanya hivyo! Hapo bado hujaweka mamilioni mengine aliyochangiwa na wana chadema.!
Tunakuambia tu Lisu huku kudeka na kulialia siyo kwa hali ya kawaida huenda una tatizo la malezi mahali na tunakuonya pia ipo siku wanyonge watataka kurudishiwa hela zao ulizolipwa bila kuzifanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
MABEBERU waende MIGA kufanya nini wakati Bado wamepewa Mikataba Legelege vile vile, na yale Mazillion tuliyoaminishwa watalipishwa hayapo na Makinikia yamewekwa sokoni kwa haohao Mabeberu....,Sasa hapo wanaenda kushitaki kwa Lipi?,Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Una TAPATAPA,wajifanya kuanza na Kwaresma Kumbe upo kambi ya walio anza na shetani na huwezi kumaliza na MUNGU. washeikhtwani ni Washetani tu. hutoki hapo umekamatwa.Kwa wa kristo wote duniani kipindi cha kwaresma ni kipindi cha toba ambacho watu hukitumia kujirudi kwa muumba wao kwa kuomba na kusamehewa zambi zao.
Si sawa kwenye kipindi cha kwaresma kusema uongo waziwazi na kujilizaliza ili uonekane kwamba unaonewa na kuteseka sana kuliko binadamu wote hapa duniani!
Ndugu yetu huyu Tundu Lisu amekuwa mtu wa kusema uongo na kuzushia wengine mabaya ili waonekane ni wachafu mbele ya jamii, mfano kwa miaka nane alizunguka kote nchini na duniani akimtaja Lowasa kuwa ni fisadi namba moja duniani! Lakini baada ya Lowasa kuinunua chadema na kuwa mgombea urais , ni Lisu huyohuyo tena alizunguka nchi nzima akiwaambia watu kuwa Lowasa siyo fisadi na anafaa kuwa rais wa Tanzania!
Tabia mbaya hii Tundu Lisu aneendelea nayo hata baada ya kupigwa risasi zaidi ya 38, kwanza aliwaahidi wa Tanzania kwamba akipona tu atarudi nyumbani mpaka leo hajafanya hivyo maana yake alisema uongo. Pili ndani ya mwezi huu wa toba Tundu Lisu amelifurumshia uongo na uzushi bunge kwamba hajalipwa madai yake huku akijua si kweli!
Jana Spika Ndugai ameonyesha hadharani nyaraka zote zinazoonyesha Tundu Lisu amelipwa zaidi ya milioni 500 na bunge! ,tena amelipwa hela zingine za kutembelea wapiga kura wakati hajawahi kufanya hivyo! Hapo bado hujaweka mamilioni mengine aliyochangiwa na wana chadema.!
Tunakuambia tu Lisu huku kudeka na kulialia siyo kwa hali ya kawaida huenda una tatizo la malezi mahali na tunakuonya pia ipo siku wanyonge watataka kurudishiwa hela zao ulizolipwa bila kuzifanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anapata buku 7 kila anapo-post haya madudu yake hapa JF.Takataka, wewe elimu yako imemsaidia nani.
Ya kwako imesaidia nini?Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Kuna mtu kakuita mbugila hajakosea. Mshahara wa Lisu na hata wa Magu ni kodi za watz, siyo elimu ya Magu we Bwege.Elimu ya Magufuli inawalipa mshahara akina Lisu na Mbowe na pia wanalamba ruzuku kibao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi Mbatia amemkosoa Mbowe akaambulia kufukuzwa kwenye uwaziri kivuliMkuu,
Binadamu aliyefikia hatua ya kutaka kotoa uhai wa mwenzake kwasababu anamkosoa huyo amepoteza sifa ya ubinadamu
Hana tofauti na "Jiwe"
Sent using Jamii Forums mobile app