Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
wangetumia tu hata Kondom hakika wazazi wanajutia hili KosaAu bora mother wake angefanya abortion au baba yake angefanya masturbation
We kwako imeisaidia vipi familia yakoLisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Kapata msaidizi huyu hapaElitwege ni punga muuza biriani mitaa ya lumumba FC buku saba
Lisu hakudanganya alisema ukweli na serikali ikafanyia kazi kwa kasi vile vyote alivyosema kwani walikuwa wamejua nini kinafuata, kilichobakia sasa watanzania wanadai Noah zao pia kujua ukweli mwingineo mwingi uliojificha sekita za madiniLisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Usikute huyu anaishi nyumbani kwa wabwekaji wa CCM akina musibaKapata msaidizi huyu hapaView attachment 1244101
Tokea mwaka 1998 kikwete akiwa waziri wa Nishati na madini alikuwa kaanza kupiga kelele kwa kifupi Tundu lisu ndiye mwasisi wa kukataa mabaya ya uwekezaji kwenye madiniLissu alipiga sana kelele juu ya mikataba mibovu ya madini lakini serikali ya CCM hakumsikia na mkaingia mikataba hiyo sasa elimu ya nani haina msaada kati ya lissu na ya wanaCCM??
Kuna dada mmoja wa ACT Wazalendo alisema huyu mbwekaji naye ni batamzinga na aliwahi kuwekwa kinyumba na mzungu huko Masaki.Usikute huyu anaishi nyumbani kwa wabwekaji wa CCM akina musiba
Musiba ni kajitu ka ajabu sana hasa pindi kakiwa na njaa kapo tayari hata kulala uvunguni mwa mtu mpaka kapate kile kanachotakaKuna dada mmoja wa ACT Wazalendo alisema huyu mbwekaji naye ni batamzinga na aliwahi kuwekwa kinyumba na mzungu huko Masaki.
wenzako wamecopy na kupaste desa hilo hilo la Lissu unaloliponda sasa na wamepewa cheo cha uanasheria mkuu wa serikali.Nakushauri umlaumu sana mzee wako aliyekupeka shule zinazotoa elimu bila malipo,bure ni gharama na ndo maana umeeanza kulipiaLisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
ila elimu ya chenge na Mkapa ndio imeleta faida ?Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Una hoja unayojua wewe mlamba viatu?Jikite kwenye hoja
hujaelewekaLisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
ana degree 4 labdaUkute hata bunge hajawahi kuangalia kiumbe huyu pia inaonesha jf imevamiwa Sana yaani nahisi Kuna watu wapo kwa 7000 humu. Kazi yao Ni mmoja tu Kama huyo. Sasa na wewe elimu yako imekusaidia nini?
zimwi likujualo halikuli hadi ukaishaZitto na Lissu wameleta mabadiliko sana nchi hii kupitia bunge!Sakata la buzwagi lilianzishwa na Zitto,wakiwa na Lissu walisimama vyema kupigania mrabaha kuongezwa kutoka 3%!!!!
Mtemi Chenge(alikuwa mwanasheria mkuu wa serikali na sasa mwenyekiti wa bunge),msomi wa Havard university ametoa mchango gani kwa taifa?
Kila sakata la ufisadi yumo,cha ajabu yuko salama salmini!!!!
Wangeweza kuchukua ushauri mujaraab wa Bure kutoka kwa Mh.Lissu miaka hii yote tangu,soko huria/holela,utandawazi na uwekezaji ulipoletwa katika Tanzania,hakika tungekuwa 1st world country(Donor)siku nyingi.Tanzania tuna raslimali za kutosha kutufanya tuwe Giant Nation in Africa.Hatujaandaliwa kuzimiliki,kuzisimamia au kuzilinda kwa makusudi na waliotutawala.Tokea mwaka 1998 kikwete akiwa waziri wa Nishati na madini alikuwa kaanza kupiga kelele kwa kifupi Tundu lisu ndiye mwasisi wa kukataa mabaya ya uwekezaji kwenye madini