Elimu ya Lissu haina msaada kwa Watanzania

Hatuhitaji wakoloni acha kufikiria kitumwa mkuu!
Mkuu unajua sisi polisi wetu hii ishu hatuwaelewi au wanamkingia mbowe kifua maana wapo kimya na si unajua tunatakiwa mbowe aingie kwenye 18 fasta sasa hii ishu tungeita FBI baasi.
 
Kasome report ya mkaguzi mkuu wa serikali uone madudu ya chama cha kijani,na hizo pesa alizolipwa,Lisu,kila mbunge upewa,sio lisu tu,
Ndugae alikaa Hospitali India,akakodisha jengo,akalifanya ofisi ya bunge ya muda,akasafirisha wasaidizi wake,akawa anaendesha shughuri za bunge kutoka India,unajua alitumia Tsh ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MABEBERU waende MIGA kufanya nini wakati Bado wamepewa Mikataba Legelege vile vile, na yale Mazillion tuliyoaminishwa watalipishwa hayapo na Makinikia yamewekwa sokoni kwa haohao Mabeberu....,Sasa hapo wanaenda kushitaki kwa Lipi?,
Tungefuata mapendekezo ya wale maprofesa wa ile tume ileeee...Ndo ungejua kuwa BEBERU Akisha nusa Mkia wa mbuzi ke....huwa haondoki eneo hilo mpaka kieleweke.
 
Una TAPATAPA,wajifanya kuanza na Kwaresma Kumbe upo kambi ya walio anza na shetani na huwezi kumaliza na MUNGU. washeikhtwani ni Washetani tu. hutoki hapo umekamatwa.
 
Ya kwako imesaidia nini?
 
Lisu ni fara tu, na atakuwa anajuta sana sasa hivi, alidhani wazungu wangemwamini na kumpa deals.
Majuto ni mjukuu, wacha ashike adabu yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…