Elimu ya Lissu haina msaada kwa Watanzania


ungekuwa unajua mwenzako alikuwa anaona mbali kuliko wewe
 

huyo hapo ndiye ambaye akili yake imetusaidia tanzania

"Kuna wakati tulikuwa tumeegemea sana kwenye makampuni ya madini. Tuliwapa kila kitu. Akina @zittokabwe walipiga kelele sana. Tuligombana sana wakati huo. Lakini walitusaidia sana wakati huo"- Dk Kafumu, Mbunge na Kamishna Mstaafu wa Madini
 

Pole dada uwezo wako wa kudadavua mambo ni mdogo sana acha kabisa kujadili elimu za watu mimi nakushauri rudi darasani kasome upya ukihitimu utashangaa uwezo wako wa kujadili mambo utaongezeka,kwa sasa uko gizani,rudi shule dada
 
Lakini alitudanganya tutashitakiwa MIGA ili tuwaogope Accacia kuwashughulikia kama ambavyo tunawashughulikia sasa hivi...!!
Watulipe trilion 495 bhana,kama hawataki tutaifishe kampuni!
Nyingine hizo ni swaga tu!Cha msingi tulipwe chetu!
 
Hivi Unamkumbuka alie waambia
ukweli juu ya kukamatwa moja ya ndege zenu huko canada?
 
Lissu na Zitto Kabwe wote elimu yao ni utata mtupu, hawana kabisa faida na nchi yetu.
Ungeacha Mihemko ya kisiasa na kuuacha moyo usukume Damu, ungejua umuhimu wa hao watu kwa maendeleo ya taifa.
Wala hao si miongoni mwa waliolitia taifa hasara kama kina....,Jiwe na Bagamoyo/ Bombadier Road, Vijicent na Escrow,Rada,
Kwa uchache hao huwaoni?,
ama wajitoa ufahamu ama ndo kuunga juhudi mkono wa damu?.
 
Mleta mada elimu yako ndio dhaifu sana.
Lissu pekee ni sawa na wabunge 100 wa ccm.Nia na lengo lake ni kuiokoa taifa lisiingie kwenye mitego ya mabebebru.Kwa akili zenu finyu mikataba mlizo saini ndio imeifikisha taifa hapa tulipo,umaskini na hali ngumu umetuganda,sijui kama awamu ya tano itaweza kulikwamua.Ninawasiwasi
 
Napishana na Mh.Lissu katika kutoa mineno yenye dharau na yenye maukoko meusi.


Ila Elimu yake imenisaidia sana kuijua Tanzania yangu.

Kwa hilo Niko nae begabega kwanza hata nilikuwa siwajui hata hao AKASHIA.
 
Ni kama elimu uliyopewa na mama koya isivyokuwa na manufaa kwa taifa
 
Huyu kaona uzi wa mwenzake wa New Barrick group kakimbia kuja kuleta upupu wake hapa!!!!
Tunaambiwa New Barrick group,ikiwa imenunua hisa za Acasia itakuwa na mtaji wa Dola Bilion 19,kama trilion 40+!Sisi tunadai trilion 495,zitslipwaje?????
Mkuu hili taifa sijui linaongozwa na watu wa aina gan!
 
Anahusika kuitisha serikali isiwabugudhi acacia. Hata kama ccm ilikosea mwanzoni. Kwanini akawa anatutisha watatushtaki wakati sio kweli. Unafuatilia hili suala lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…