Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Mwambie Polepole akupe advance ya Leo unywe gahawa na kashata hapo Lumumba!I expected this shithole response from asshole!
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Mimi mtemi Chenge nacomment wapi?Lakini alitudanganya tutashitakiwa MIGA ili tuwaogope Accacia kuwashughulikia kama ambavyo tunawashughulikia sasa hivi...!!
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?
Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?
Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.
Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Hoja?Mshikiwa akili na dj, endelea na upumbavu wako wako walahi
Chromosome retard walahi
Watulipe trilion 495 bhana,kama hawataki tutaifishe kampuni!Lakini alitudanganya tutashitakiwa MIGA ili tuwaogope Accacia kuwashughulikia kama ambavyo tunawashughulikia sasa hivi...!!
Elimu ya Havard ya chenge imetufikisha wapi?Mada jamvini elimu ya Lissu haina faida kwa taifa!
Ungeacha Mihemko ya kisiasa na kuuacha moyo usukume Damu, ungejua umuhimu wa hao watu kwa maendeleo ya taifa.Lissu na Zitto Kabwe wote elimu yao ni utata mtupu, hawana kabisa faida na nchi yetu.
Mkuu hili taifa sijui linaongozwa na watu wa aina gan!Huyu kaona uzi wa mwenzake wa New Barrick group kakimbia kuja kuleta upupu wake hapa!!!!
Tunaambiwa New Barrick group,ikiwa imenunua hisa za Acasia itakuwa na mtaji wa Dola Bilion 19,kama trilion 40+!Sisi tunadai trilion 495,zitslipwaje?????
Amelisaidiaje yule traitor. Niambie amesaidiaje.lissu amelisaidia sana taifa letu...
Anahusika kuitisha serikali isiwabugudhi acacia. Hata kama ccm ilikosea mwanzoni. Kwanini akawa anatutisha watatushtaki wakati sio kweli. Unafuatilia hili suala lakiniSidhani kama Lisu anahusika katika kusaini mikataba ya uwekezaji na Acacia au Barick Gold Mine. Mtoa mada ungeacha kufikiria kisiasa ungeuona ukweli. Tusihamishe uzembe wetu kwa kulaumu wapinzani. Acha kufunikwa na chuki ufikiri vyema bosi. Usifikirie kichama Fikiri beyond partism..