Elimu ya Lissu haina msaada kwa Watanzania

Lisu alisema tusithubutu kuwagusa Acacia tutanyolewa kwa chupa !
Kwa sasa tunafanywaje?Si tunategemea tu huruma yao? Je tumewagusa? Makinikia yapo?Tumewafukuza nchini? zaidi ya kuishia kusema kuwa ni wezi na kuwa hawajasajiriwa Tanzania
 
Kwa sasa tunafanywaje?Si tunategemea tu huruma yao? Je tumewagusa? Makinikia yapo?Tumewafukuza nchini? zaidi ya kuishia kusema kuwa ni wezi na kuwa hawajasajiriwa Tanzania
Huna unachokijua kama jina lako
 
Tatizo kuu la nchi hii ni elimu mbovu ya wananchi waliowengi wangapi unadhani wenye elimu mbovu watamwelewa Lissu??sio rahisi hinyo.Lissu hakuwaleta hao wawekezaji wenu wala kusaini nao hiyo mikataba ambayo huishia kufishwa magogoni hata bungeni haikanyagi tena sheria ya mabadiliko ya madini na gesi mnazifanya kwa hati ya dharura Lissu alitoa ushauri wa kisheria unamwona hafai basi fuata ushauri wa Chenge anaehusika na mikataba hiyo mibovu utakufaa.
 
Kama hujawaleta wezi nyumbani kwenu ,ndiyo uwatete wakitaka kufukizwa?
 
Bila kutamka na kuandika Lisu na Chadema , familia yako haiendi chooni. Tanzania raha sana
 


Haka kalissu si ndiko kalikuwa kanakula njama na wazungu juu ya migodi ili taifa lipate hasara? Kuna Lissu mpotoshaji mwingize zaidi ya huyu?
 
Nani kakwambia kuwa hawatatushitaki MIGA?
Lakini alitudanganya tutashitakiwa MIGA ili tuwaogope Accacia kuwashughulikia kama ambavyo tunawashughulikia sasa hivi...!!
 
Maneno ya Lissu yameshatimia kesi tayari zimefunguliwa huko kumi na Tatu mpaka aibu ,Kabudi alipoulizwa na Zitto akabaki kutoa macho eti umetumwa .
 
Vipi elimu ya Jiwe umeonaje ilivyotumika kwenye korosho ,thamani ya shilingi dhidi ya dola ,vipi uchumi wa nchi ,umaskini na ufukara ulivyongezeka toka 2015 .
 
Kipumbavu sana kutwa Lissu umemsau mama yako
 
Correct!,he's matha https://jamii.app/JFUserGuide!,deserving heavy punish!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…