Elimu ya Lissu haina msaada kwa Watanzania

Elimu ya Lissu haina msaada kwa Watanzania

Kumbe unatambua hilo kuwa "hawajielewi,sasa wanafanya nini na wa-TZ TUTEGEMEE CHA MAANA KWA WASIOJIELEWA"
Wasiojielewa namaanisha hao wanaotishika na mikwala ya kitoto ya kushtakiwa MIGA, hao wa kutushtaki ndio wakaja na kuanzisha kampuni ya ubia na serikali.
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
We bwege bashite elimu yako fake ina faida gani zaidi ya kuua watu.Kutoa uhai wa mwenzio bila sabab ya msingi ni ishara ya uhaba wa akili,ujinga na upumbavu,ushetani usio na chembe ya akili.Just get lost
 
Umesema elimu ya Lisu haina msaada kwa watanzania, tujiulize swali, Je! Watanzania wana msaada kwa elimu ya Lisu?
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Kaka tusaidie upelelezi wa suala lake umefikia wapi?
 
we
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
wewe hizo bangi zako unazovuta zinasaidia taifa la tanzani? wakati bangi zako zinasaidia taifa la Afghanistan ndio walimaji wa kubwa wa bangi
 
Lisu kwa nini ulitudanganya kwamba tutashitakiwa MIGA ?

Ulikuwa unataka tuogope tuwaache Acacia waendelee kutunyonya?

Kwa hali hiyo Lisu hufai kabisa na sijui umekula maharage ya wapi.

Elimu yako haina faida kwa watanzania na unatakiwa urudishe kodi zetu tulizotumia kukusomesha .
Haiwezekani usomeshwe na watanzania alafu ukatumikie mabepari.
Upumbavu na ujinga wa chama madarakani miaka 60 haujatusaidia lolote
 
Maza faka hili😈😈😈😈😈😈😈😈
 
Kabla ya kuanza kuhoji Elimu ya Lissu ina faida gan kwa Taifa ebu jaribu kujihoji wewe binafsi; Je elimu yako ina faida gani kwako na kwa familia yako?
Bila shaka elimu yako haina faida kwako ndo maana unaanza kuhoji Elimu za watu ambao hata hawakusaidii kwa chochote
 
Back
Top Bottom