Elimu ya Nape Nnauye

Dr Slaa hana BA wala MA lakini ana PhD.

Cc.. chama,
 
Last edited by a moderator:
Tunamuhitaji Nape aje hapa kujibu na siyo hizi ID maalum za Lumumba.

Nhundu

Today 22:11
#248

Member Array


Join Date : 2nd April 2012
Posts : 40
Rep Power : 355
Likes Received3
Likes Giv
 
Kazi ipo leo unafanya overtime nini naona umeshinda kwenye uzi huu,,.. njaa mbaya sana hasa ikihamia kichwani toka tumboni.Pole sana mkuu lakin kazi bado zipo nyingi sana za kufanya ni bidii yako tu.
 
Bila kumtaja Dr Slaa wala usikii raha wananyevuwanyevuwa, Factjet mbona ana PHD 2 kasomea wapi? hapa tunamtaka Nape aje kujibu je wewe ni Nape?

Wewe mbona toka asabuhi unamataja Nape vipi alete posa Segerea.
 
Kwa nini uje na beliefs na assumptions wakati Nape ni mtu mzima na anaweza kujisemea? Aje hapa aeleze hapa toka hiyo Division IV (29 points) alifanyaje hadi kufika Masters.

Mambo anayoyafanya na kuyaongea yanafanana zaidi na point 29 F.IV kuliko na masters.
 
Wewe mbona toka asabuhi unamataja Nape vipi alete posa Segerea.
Punguza mashuzi, tangu thread hii imeanza mpaka usiku huu Nape hajatokea anaogopa nini? Aje hapa afafanuwe form four division four point 29 na Masters alipataje? na asipotokea huu mjadala nauhamishio huko facebook wanaposhinda watu dhaifu kama yeye.
 
 
Last edited by a moderator:

There is no assumption that`s what he did!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
 
Punguza mashuzi, tangu thread hii imeanza mpaka usiku huu Nape hajatokea anaogopa nini? Aje hapa afafanuwe form four division four point 29 na Masters alipataje? na asipotokea huu mjadala nauhamishio huko facebook wanaposhinda watu dhaifu kama yeye.

Wewe mtoto wa kiume usipende kutumia haya maneno "mashuzi" "kujambajamba" unatupa wasiwasi kuna Maal Babu.

Cc. chama,
 
Last edited by a moderator:
Ninachoshangaa kwa nape ni kuwa elimu aliyonayo haimsaidii. Ameweka elimu pembeni na kuamua kutumikia tumbo. Bado nina mashaka na elimu yake kwani hata uwezo wake wa kujenga hoja ni mdogo sana.

Wewe endelea na mashaka yako; hakuna ulazima wa wewe kukubaliana na hoja za Nape kwanza wewe Chadema hoja za Nape zinakuhusu nini?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu Ritz
Umenifungua macho! Ph. d yenyewe pia hakuelewa alichosoma!

Chama
Gongo la mboto DSM

Kamaliza form six akasoma PhD patamu hapo.
 
Last edited by a moderator:
Wewe mtoto wa kiume usipende kutumia haya maneno "mashuzi" "kujambajamba" unatupa wasiwasi kuna Maal Babu.

Cc. chama,

Mkuu Ritz
Kijana makini ananipa sana wasiwasi kulikoni????????

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
ngoma inogile umenena vema,ngoja niitafute simu ya huyu mzee simbeye ili nape na mnyika wawe ni miongoni mwa waalikwa,halafu tuone vituko, kwanza ninavyomfahamu nape ataomba kuwa anaudhuru wa kazi za chama.teh teh,teh.
tunahitaji mtu mwenye elimu ambayo ataitumia kutuondolea matatizo tuliyo nayo hata kama ni ya std seven.wale mafisadi wenye phd waliosaini mikataba mibovu ya kujinufasha elimu yao imetusaidia nini.nafikiri chadema imejaa vijana waliomaliza vyuoni wakitegemea kupatiwa kazi na serikali lakini haikuwa hivyo na bado wakisubiri wakiamini upinzani ukishinda wataitwa kazini.
 
Kwa hiyo tuambie Form 6 alisomea wapi na alipataje? Tuaminije kama hakununua cheti?

Sikulazimishi kuamini nilichosema ila matokeo yangu ni baada ya kubadili mwenendo mzima kitu ambacho niliwahi kununua ni discharge book wakati huo nikiwa na lengo la kuwa baharia; form 6 nilipata 2 ambayo ilikuwa na sifa zote ndio sababu sikuhitaji kujiunga na masomo ya jioni!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…