Elimu ya Nape Nnauye

Elimu ya Nape Nnauye

anatetemeka hapo alipo hajui aanzie wapi maskini nape mwandosia...
 
Inafurahisha kuona nape anajidai hajaona hii thread hadi sahizi. Nape aibu yako
 
wakuu tamuonea NAPE bure! yeye baadaya kuona ile CD ya DR SLAA kuwa na card mbili kuchuja akaona atoke ha hii ya ELIMU ya Mh J J Mnyika!
kwa hiyo kumbe nape alifaa awe dj maana anaropoka ropoka tu kunogesha disco.
 
Kwa taarifa aliyotoa Mh. Mnyika, huyu mtu anayeitwa Nape, hawezi kujibu hoja wala na yeye kutoa details za elimu yake. mtasubiri mpaka Yesu harudi, nape hatoi taarifa yake kamwe. Kwa ni mara ngapi ametakiwa aeleze baba yake mzazi ni nani na ameshindwa, ndio itakuwa swala hili la elimu!!!

Pamoja na kwamba hata mimi nasubiri majibu ya elimu yake ila hapo kwenye Bold tutakua tumemwonea, tukitaka tumjue baba yake mzazi tumuulize mama yake, yeye hakuwepo wakati wa uumbaji wake! Hili swali halimuhusu!
 
Hivi wajameni, Nape alimeshaleta majibu humu au bado anachakachua?? Hapo ndipo unapoona tofauti ya CCM na CDM!!
 
Wakirudi kutoa matokeo yao mwezi mzima siingii JF...Naomba ya Riz1 na Nape form 4 na form 6. Wakileta nikimaliza mfungo nitauliza form 2 na std 7
 
Nape Bichwa kubwa tu
Hamna kitu Ndani
Ndio maana Mzee Makamba alisema amefungiwa duniani na mbinguni
 
Riz One ni kilaza na hawezi kujibu chochote kwani kama sio Beno Malisa kumsaidia pale UDSM asingemaliza na hata sasa anamtegemea sana Beno kumuandikia barua za kiingereza hata nje ya nchi anakwenda na Beno na ndie msemaji wake yeye anajua hi na how r u too mengine Beno ndio anajibu ,Bila Beno Riz One na yule dada yake aliyepata sifuri Feza Sec hawatofautiani

jamani hiyo sentensi ya mwisho imeniacha hoi.
 
Ukinipiga ngumi ya jicho nami nitajupiga ya sikio...ukiniuliza naonaje,nitakuuliza unajisikiaje? Haya katibu mwenezi wa chama cha zamani,tuambie elimu yako ikoje?
 
nape huyu hata mtihani wa daras la saba alifelii. huko f4 na f6 mbali jamani.
 
Ina maana nape hujaingia janvini toka juzi!? haiwezekani, tunaomba ujibu chochote japo hata kamguno cha 'mmmmh'
 
Napeeee!! Hata wewe ?? Kwenye masuala ya Elimu unahoji elimu za watu ?? Kwanini haujadili hoja unafaidi watu, kweli wakati huu ni wa kutuongoza tujadili "mtu" ?? Huyaoni yaliyo mbele yetu Kama Taifa ?? Au unataka tuamini wewe hayakuhusu ?? Haya ya umaskini, udini, ukabila, uvivu wa kufikiri, maradhi, shida za maji, ubovu wa elimu, miundombinu mibovu, rushwa, ufisadi, uvivu wa kufanya kazi, ukosefu wa ajira, mikataba mibovu ya madini/gesi..., Ardhi yetu inayotwaliwa na wageni, shida za muungano, dhiki ya mikoa ya kusini na gesi yao.... Au unataka sie tunaokujua tuanze kujadili uwezo wako na jinsi ulivyobebwa na walimu na wanafunzi wenzio pale Mzumbe!! Kwanini usijipe nafasi ya kujisomea tena masomo ulivyobebwa. Unapataje muda wa kujadili MTU ??

Mhh!!! endeleeea kufunguka, patam hapo, tulikuwa tunakusubiri wewe tupe mambo mkuu, kumbe alikuwa anabebwa dah!
 
Ha wajameni i cant birivu if zis guy wont show up to answer zis allegations ze way Mnyika did.
 
bado nayatafakari matokeo haya ya form 4.! unatakiwa mpango wa dharula wa mageuzi ya elimu...tukubali tukatae hili ndio taifa lijalo licha ya mfumo wa kisultani uliopo wa kurithishana madaraka....Kawambwa ana ujasiri ambao binadamu aliyetimamu hawezi kuwa nao.
 
nape hajapewa ban kweli,embu mods tupeni taarifa za huyu vuvuzela
 
mtamuua kwa presha wakuu kuna uzi unamtaka adhibitishe kama amepata familia yake.nashauri mpeni muda ajibu hoja moja moja uwezo wake ni mdogo he can not handle two things at a time.

mke weshamchukua wenye hela sio hizi za kuokoteza na weshaanzisha familia na dini weshambadili... hana lake.... atabaki tu kulalama ... na vijisent Vya magamba
 
Back
Top Bottom