Shule zinakaribia kufungwa. Hii maana yake ni nini? Maana yake walimu wamefanya kazi wakamaliza syllabus wamefunzidha vizuri. Wanafunzi mwamesoma vizuri na wamesimamiwa vizuri.
Sasa wanaenda kupumzika kwa mwezi mzima. Ratiba ya shule imeisha inaanza ratiba nyingine ya nyumbani. Mtoto anahitaji kupumzisha akili. Mtoto anahitaji ku socialize na ndugu, majirani marafiki na wanafunzi wenzake toka nchi mbalimbali.
Kama anawea huu ni muda wa kwenda kuanglia tembo anafananaje kule Serengeti.
Kimsingi ratiba ya shule imeisha kwani ratiba ya mwalimu ni vipindi vyake vya darasani. MWalimu mzembe au shule yenye wazembe ndizo hupenda sana kupelekea mambo ya shuleni nyumbani.
Mojawapo ni hili kwamba sasa shule zinafungwa, badala ya mwanafunzi kupumzika wanamrundikia rundo la homework za likizo wanaziita "Holiday Package" na bila aibu zimefikia kiwango cha kutangawzwa mitandaoni.
TUmeuendekeza hadi umekuwa sehemu ya maisha.
Shule za Kimataifa, International Schools hazifanyi jambo hilo, wao wanahakikisha kila kitu mwalimu umemaliza ndani ya dakika 80 za kipindi chako. Shule hizi hukuti hata siku moja mtoto anapewa "Holiday Package" aifany wakati wa likizo, mwalimu wa namna hiyo akifanya anafukuzwa kazi.
Kumbe, hili "Holiday Package hazitakiwi bali ni uzembe tunaoundekeza kwa kushindwa kukagua yanayoendelea mashuleni.
Kinachosababisha ni kwamba baadhi ya wamiliki wa shule wanadhani kuwekeza kuwapata walimu wazuri ni gharama. Mwanzoni hawaajiri walimu wa somo fulani, ikiaribia ndipo wanaajiri. Au kama wamemuajiri utakuta walimu hawalipwi mishahara kwa wakati na wakati mwingine hawalipwi kabisa.
Mwalimu wa namna hiyo lazima ataandaa "Holiday Package" kwa wanafunzi wake, kwa sababu ya uzembe huo ambao hauwezekani kwenye international schools.
shule ziache uzembe, tuhimize kufutwa hizi "Holiday Package" ibaki kwa wale tu wanaozipenda.
Sasa wanaenda kupumzika kwa mwezi mzima. Ratiba ya shule imeisha inaanza ratiba nyingine ya nyumbani. Mtoto anahitaji kupumzisha akili. Mtoto anahitaji ku socialize na ndugu, majirani marafiki na wanafunzi wenzake toka nchi mbalimbali.
Kama anawea huu ni muda wa kwenda kuanglia tembo anafananaje kule Serengeti.
Kimsingi ratiba ya shule imeisha kwani ratiba ya mwalimu ni vipindi vyake vya darasani. MWalimu mzembe au shule yenye wazembe ndizo hupenda sana kupelekea mambo ya shuleni nyumbani.
Mojawapo ni hili kwamba sasa shule zinafungwa, badala ya mwanafunzi kupumzika wanamrundikia rundo la homework za likizo wanaziita "Holiday Package" na bila aibu zimefikia kiwango cha kutangawzwa mitandaoni.
TUmeuendekeza hadi umekuwa sehemu ya maisha.
Shule za Kimataifa, International Schools hazifanyi jambo hilo, wao wanahakikisha kila kitu mwalimu umemaliza ndani ya dakika 80 za kipindi chako. Shule hizi hukuti hata siku moja mtoto anapewa "Holiday Package" aifany wakati wa likizo, mwalimu wa namna hiyo akifanya anafukuzwa kazi.
Kumbe, hili "Holiday Package hazitakiwi bali ni uzembe tunaoundekeza kwa kushindwa kukagua yanayoendelea mashuleni.
Kinachosababisha ni kwamba baadhi ya wamiliki wa shule wanadhani kuwekeza kuwapata walimu wazuri ni gharama. Mwanzoni hawaajiri walimu wa somo fulani, ikiaribia ndipo wanaajiri. Au kama wamemuajiri utakuta walimu hawalipwi mishahara kwa wakati na wakati mwingine hawalipwi kabisa.
Mwalimu wa namna hiyo lazima ataandaa "Holiday Package" kwa wanafunzi wake, kwa sababu ya uzembe huo ambao hauwezekani kwenye international schools.
shule ziache uzembe, tuhimize kufutwa hizi "Holiday Package" ibaki kwa wale tu wanaozipenda.